Ubaya au uzuri wa kiongozi hauzifanyi hoja zake nazo kuwa mbaya au nzuri

Ubaya au uzuri wa kiongozi hauzifanyi hoja zake nazo kuwa mbaya au nzuri

Pulchra Animo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
3,718
Reaction score
3,465
Watu wengi, especially wafuasi wa CHADEMA, wameonesha kupofushwa na chuki zao dhidi ya viongozi fulani kiasi cha kupoteza objectivity katika kupima nguvu ya hoja zinazotolewa na hao viongozi. That’s a very serious problem. Ni kukosa intellectual maturity!

Kimsingi, hatuhitaji kumpenda mtoa hoja. Kama hoja yake ni ya msingi, tunachounga mkono ni hoja iliyotolewa, sio mtoa hoja. Hakuna ubishani kwamba ubaya au uzuri wa mtoa hoja hauna maana kwamba hoja zake nazo ni mbaya au nzuri.

Ukishaanza kumfikiria mtoa hoja, jua unahitaji break; you’re no longer objective. Ukiendelea on that path, utakuwa unafanya zoezi la kufurahisha nafsi yako. Conclusion utakayokuja nayo itakuwa completely useless.

Ndiyo maana Lissu, pamoja na uhasimu mkubwa ambao umekuwepo kati yake na Ndugai, ameshindwa kuja na automatic dismissal ya hoja ya Ndugai. Hii approach ni sahihi na ni moja ya maeneo machache ambayo mimi na Lissu tunasimama upande mmoja!
 
Achana na vijana wa Chadema hawajai kuwa na akili wanachoweza ni ushabiki na kufata upepo kama mnyama aitwae nyumbu.

Mtu hata ofisi yake anashindwa kujenga alafu anahubiri maendeleo.
 
Hongera sana mtoa hoja. Umetoa hoja ya akili sana ambayo watu wengi, hasa wanaCHADEMA na wasio na akili hawawezi kukuelewa.

Kufurahia Ndugai kuondolewa kwa kuwa tu hapendwi, bila kuangalia hoja na mustakabali wa uhuru wa kujieleza wa watu, ikiwemo uhuru wa mihimili mingine ni very myopic. Haya Nduga sio tena Spika, Chadema wamefurahi wakiungana na UVCCM, so what next? What is the impact?

CHADEMA hawafikirii kuwa hii sasa imeleta precedent mbaya sana kwa taifa letu ya kwamba sasa Spika atakewekwa atakuwa puppet wa serikali na ujasiri wowote uliokuwepo wa kuikosoa serikali umezikwa rasmi bungeni. Wabunge watawaza: kama Spika amefanyiwa hivi, wao watafanyiwa nini?

Taifa limeingizwa gizani na Chadema wasije tena hapa kulialia ikiwa watakuwa persecuted na CCM maana hawako consistent katika kusimamia haki za watu bila kujali kuwa mtu huyo ni adui au rafiki.
 
Watu wengi, especially wafuasi wa CHADEMA, wameonesha kupofushwa na chuki zao dhidi ya viongozi fulani kiasi cha kupoteza objectivity katika kupima nguvu ya hoja zinazotolewa na hao viongozi. That’s a very serious problem. Ni kukosa intellectual maturity!

Kimsingi, hatuhitaji kumpenda mtoa hoja. Kama hoja yake ni ya msingi, tunachounga mkono ni hoja iliyotolewa, sio mtoa hoja. Hakuna ubishani kwamba ubaya au uzuri wa mtoa hoja hauna maana kwamba hoja zake nazo ni mbaya au nzuri. Ukishaanza kumfikiria mtoa hoja, jua unahitaji break; you’re no longer objective. Ukiendelea on that path, utakuwa unafanya zoezi la kufurahisha nafsi yako. Conclusion utakayokuja nayo itakuwa completely useless.

Ndiyo maana Lissu, pamoja na uhasimu mkubwa uliopo kati yake na Ndugai, ameshindwa kuja na automatic dismissal ya hoja ya Ndugai. Hii approach ni sahihi na ni moja ya maeneo machache ambayo mimi na Lissu tunasimama upande mmoja!
Watetezi wa Ndugai mmeangukia pua leo. Poleni. Sasa tuungane kudai katiba Bora na Mpya tuepukane na haya yaliyompata Ndugai
 
Hongera sana mtoa hoja. Umetoa hoja ya akili sana ambayo watu wengi, hasa wanaCHADEMA na wasio na akili hawawezi kukuelewa.
Kufurahia Ndugai kuondolewa kwa kuwa tu hapendwi, bila kuangalia hoja na mustakabali wa uhuru wa kujieleza wa watu, ikiwemo uhuru wa mihimili mingine ni very myopic. Haya Nduga sio tena Spika, Chadema wamefurahi wakiungana na UVCCM, so what next? What is the impact? CHADEMA hawafikirii kuwa hii sasa imeleta precedent mbaya sana kwa taifa letu ya kwamba sasa Spika atakewekwa atakuwa puppet wa serikali na ujasiri wowote uliokuwepo wa kuikosoa serikali umezikwa rasmi bungeni. Wabunge watawaza: kama Spika amefanyiwa hivi, wao watafanyiwa nini? Taifa limeingizwa gizani na Chadema wasije tena hapa kulialia ikiwa watakuwa persecuted na CCM maana hawako consistent katika kusimamia haki za watu bila kujali kuwa mtu huyo ni adui au rafiki.
Hao ccm hoja yake wameichukua?? Poleni kwa maumivu. Kila mchuma janga hula na wa kwao.
 
Achana na vijana wa Chadema hawajai kuwa na akili wanachoweza ni ushabiki na kufata upepo kama mnyama aitwae nyumbu.

Mtu hata ofisi yake anashindwa kujenga alafu anahubiri maendeleo.
Mkuu waliomsagia Kunguni ni Wenyeviti wa ccm mikoa na Uvccm.

Hata Tulia Jackson kajificha.

Sasa Chadema hapo wanahusika vipi??
 
... hakuna aliyekukataza kuunga hoja yake mkono; ni haki yako. Na ambao hawataki kuunga hoja mkono wanna sababu zao; ni haki yao.
 
Hongera sana mtoa hoja. Umetoa hoja ya akili sana ambayo watu wengi, hasa wanaCHADEMA na wasio na akili hawawezi kukuelewa.
Kufurahia Ndugai kuondolewa kwa kuwa tu hapendwi, bila kuangalia hoja na mustakabali wa uhuru wa kujieleza wa watu, ikiwemo uhuru wa mihimili mingine ni very myopic. Haya Nduga sio tena Spika, Chadema wamefurahi wakiungana na UVCCM, so what next? What is the impact? CHADEMA hawafikirii kuwa hii sasa imeleta precedent mbaya sana kwa taifa letu ya kwamba sasa Spika atakewekwa atakuwa puppet wa serikali na ujasiri wowote uliokuwepo wa kuikosoa serikali umezikwa rasmi bungeni. Wabunge watawaza: kama Spika amefanyiwa hivi, wao watafanyiwa nini? Taifa limeingizwa gizani na Chadema wasije tena hapa kulialia ikiwa watakuwa persecuted na CCM maana hawako consistent katika kusimamia haki za watu bila kujali kuwa mtu huyo ni adui au rafiki.

Suala la ubovu wa katiba na mapungufu yake litajadiliwa kivyake.

Kwa sasa hoja ni kujiuzulu kwa spika.

Hivi ni vitu viwili tofauti japo vinahusiana.
 
Watu wengi, especially wafuasi wa CHADEMA, wameonesha kupofushwa na chuki zao dhidi ya viongozi fulani kiasi cha kupoteza objectivity katika kupima nguvu ya hoja zinazotolewa na hao viongozi. That’s a very serious problem. Ni kukosa intellectual maturity!

Kimsingi, hatuhitaji kumpenda mtoa hoja. Kama hoja yake ni ya msingi, tunachounga mkono ni hoja iliyotolewa, sio mtoa hoja. Hakuna ubishani kwamba ubaya au uzuri wa mtoa hoja hauna maana kwamba hoja zake nazo ni mbaya au nzuri. Ukishaanza kumfikiria mtoa hoja, jua unahitaji break; you’re no longer objective. Ukiendelea on that path, utakuwa unafanya zoezi la kufurahisha nafsi yako. Conclusion utakayokuja nayo itakuwa completely useless.

Ndiyo maana Lissu, pamoja na uhasimu mkubwa uliopo kati yake na Ndugai, ameshindwa kuja na automatic dismissal ya hoja ya Ndugai. Hii approach ni sahihi na ni moja ya maeneo machache ambayo mimi na Lissu tunasimama upande mmoja!
Mmepaniki. Aliyemchamba ni Rais na Wabunge wenzake. Kosa la wanachadema hapo nini??

Mbona mnahamisha magiloli?? Uchawi wenu utawamaliza
 
... hakuna aliyekukataza kuunga hoja yake mkono; ni haki yako. Na ambao hawataki kuunga hoja mkono wanna sababu zao; ni haki yao.
Hata Tulia Jackson hajamtetea Ndugai. Huyo jamaa hajielewi.
 
Hongera sana mtoa hoja. Umetoa hoja ya akili sana ambayo watu wengi, hasa wanaCHADEMA na wasio na akili hawawezi kukuelewa.
Kufurahia Ndugai kuondolewa kwa kuwa tu hapendwi, bila kuangalia hoja na mustakabali wa uhuru wa kujieleza wa watu, ikiwemo uhuru wa mihimili mingine ni very myopic. Haya Nduga sio tena Spika, Chadema wamefurahi wakiungana na UVCCM, so what next? What is the impact? CHADEMA hawafikirii kuwa hii sasa imeleta precedent mbaya sana kwa taifa letu ya kwamba sasa Spika atakewekwa atakuwa puppet wa serikali na ujasiri wowote uliokuwepo wa kuikosoa serikali umezikwa rasmi bungeni. Wabunge watawaza: kama Spika amefanyiwa hivi, wao watafanyiwa nini? Taifa limeingizwa gizani na Chadema wasije tena hapa kulialia ikiwa watakuwa persecuted na CCM maana hawako consistent katika kusimamia haki za watu bila kujali kuwa mtu huyo ni adui au rafiki.
Yamewafika ndio mnatafuta kuungwa mkono na Chadema??

Lini chadema wakawa msaada kwenu??

Unakumbuka bajeti ya upinzani iliyochanwa chanwa bungeni huku Spika akiwa anashangilia??

Karma at work.
 
Watetezi wa Ndugai mmeangukia pua leo. Poleni. Sasa tuungane kudai katiba Bora na Mpya tuepukane na haya yaliyompata Ndugai

Sisi wengine hatutetei mtoa hoja bali tunatetea hoja iliyotolewa, kama ina mashiko. Nyie endeleeni na intellectual immaturity yenu!
 
Suala la ubovu wa katiba na mapungufu yake litajadiliwa kivyake.

Kwa sasa hoja ni kujiuzulu kwa spika.

Hivi ni vitu viwili tofauti japo vinahusiana.

Kama haki ya kuhoji maamuzi ya Rais hamuoni kama ina mashiko, kuna sababu gani ya kutaka Watanzania waunge mkono madai ya katiba mpya?

Hoja mbaya ni mbaya tu bila kujali imetolewa na nani. Vilevile, hoja nzuri ni nzuri bila kujali imetolewa na nani.
 
Yamewafika. Tetea wewe basi kamrudishie uspika. Imeisha hiyo.

Mimi sina maslahi binafsi na nafasi ya kiongozi yeyote yule.

Kanuni ni nyepesi tu. Rungu linalotumika kuwanyamazisha hao makada wa chama tawala ndiyo rungu litakaloendelea kutumiwa na Serikali kukunyamazisha wewe. Jiandae kisaikolojia!
 
Hongera sana mtoa hoja. Umetoa hoja ya akili sana ambayo watu wengi, hasa wanaCHADEMA na wasio na akili hawawezi kukuelewa.
Kufurahia Ndugai kuondolewa kwa kuwa tu hapendwi, bila kuangalia hoja na mustakabali wa uhuru wa kujieleza wa watu, ikiwemo uhuru wa mihimili mingine ni very myopic. Haya Nduga sio tena Spika, Chadema wamefurahi wakiungana na UVCCM, so what next? What is the impact? CHADEMA hawafikirii kuwa hii sasa imeleta precedent mbaya sana kwa taifa letu ya kwamba sasa Spika atakewekwa atakuwa puppet wa serikali na ujasiri wowote uliokuwepo wa kuikosoa serikali umezikwa rasmi bungeni. Wabunge watawaza: kama Spika amefanyiwa hivi, wao watafanyiwa nini? Taifa limeingizwa gizani na Chadema wasije tena hapa kulialia ikiwa watakuwa persecuted na CCM maana hawako consistent katika kusimamia haki za watu bila kujali kuwa mtu huyo ni adui au rafiki.
Tangu hapo Spika ni kibaraka wa serikali na huyu Ndugai ndio alikua kibaraka zaidi kuliko wenzie hasa kipindi cha Magufuli.
Sasa unataka Chadema wamtetee mtu wa namna hiyo kwa lipi hasa?!
 
Achana na vijana wa Chadema hawajai kuwa na akili wanachoweza ni ushabiki na kufata upepo kama mnyama aitwae nyumbu.

Mtu hata ofisi yake anashindwa kujenga alafu anahubiri maendeleo.
Punguza jazba. Sasa hivi ni muda wa Ndugai kunywa kikombe chake mwenyewe. Mkiambiwa katiba mpya hamtaki Sasa unataka Chadema wafanye nini?!
 
Back
Top Bottom