A teller
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 523
- 715
Club ya CD De Agosto ya Angola imetumia ukurasa wake wa instagram kulalamika kwamba Wenyeji wao Namungo FC wanadhoofisha kikosi chao baada ya kupewa majibu kuwa Wachezaji watano wa De Agosto hawawezi kucheza leo kwasababu wana Corona.
Wachezaji wa De Agosto wanaoripotiwa kuwa na Corona ni golikipa Nebi, Bobo, Boni, Mario, Mabululu pamoja na mratibu wa timu Untonesa Sampaio.
Mechi yao inachezwa leo Chamazi Mbagala Dar es Salaam ambapo De Agosto anahesabika kama Mwenyeji baada ya awali kushindwa kuchezwa nchini Angola kutokana na Wachezaji na CEO wa Namungo FC kudaiwa kuwa na Corona. #MillardAyoSPORTS
Wachezaji wa De Agosto wanaoripotiwa kuwa na Corona ni golikipa Nebi, Bobo, Boni, Mario, Mabululu pamoja na mratibu wa timu Untonesa Sampaio.
Mechi yao inachezwa leo Chamazi Mbagala Dar es Salaam ambapo De Agosto anahesabika kama Mwenyeji baada ya awali kushindwa kuchezwa nchini Angola kutokana na Wachezaji na CEO wa Namungo FC kudaiwa kuwa na Corona. #MillardAyoSPORTS