Ubaya utakupa faida gani?

Ubaya utakupa faida gani?

MUWHWELA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
167
Reaction score
238
Niwasalimu ndugu zangu hapa!!

Nimejikuta najiwazisha kwa sauti nikaona ni kheri niandike huenda Kuna Mwingine naye amepitiwa na frecuency kama hizi akaweka umakini hapo.

DHANA YA MATESO:

Kila nikisoma hivi karibu habari mbali mbali nakutana na binadamu kufanyiana mambo yanayopelekea kuuipoteza UHAI wa Mwingine bila Hiyari yake, it's very sad. Chagua furaha

Nikajiuliza Maswali kadhaa, ukimtesa mwenzio mwenye mwili kama wewe unapata faida Gani? Ukitoa tamaa za Mali, wakati Mwingine anapata MATESO wewe ndiye mtesaji mwenyewe unapata faida Gani? Chagua furaha

Nguvu utumie wewe,MATESO nipate Mimi ,kwa idadi yoyote ya kipimo Cha maumivu at the end Mwili wangu utakosa nguvu ya kushirikiana na nitarudi kwenye low frecuency (kifo) wewe unafaidi nini? Chagua furaha

Kwa sheria ya Asili sote tutarudi kwenye low frecuency bila KUOMBA kurudi huko. Let's pay respect for the living things including us as one of species on earth. Ukijiona una hasira ,jifunze namna Bora ya kuingiza pumzi na kutoa pumzi maana Katika hiyo ndipo tiba ya frecuency leveling inapatikana.. Don't kill. Chagua furaha

Kama ulifundishwa mahala kwamba ukimfanyia MTU ubaya unaoondoa frecuency ya juu kwamba utabaki salama basi ulifundishwa jambo lisilo sahihi, what goes around comes around , chagua furaha

Hakuna sababu on earth inayompa MTU uhalali wa kuondoa UHAI wa Mwingine,jamii yotote iliyofikia hatua hiyo ni jamii iliyokosa kuelewa dhana ya UPENDO na Kitendo, only words can heal our society (Tujifunze kuzungumza huu ulimwengu Tulipewa Ili tuufurahie siyo tutesane) chagua furaha

DHANA YA FURAHA:

Kinyume Cha MATESO ni FURAHA,lolote linalofanyika chini ya hili jua shabaha yake ilipaswa iwe FURAHA na ndiyo jitihada na juhudi za Kila MTU mwenye Mwili. Chagua furaha

Usiweke kikwazo Katika hatua za kufikia hiyo furaha, vikwazo ni vingi nakubali Lakini bado havizidi uwezo wetu wa kukabiliana navyo, chagua furaha

Tunamaliza safari yetu Katika frecuency hii yenye kushikika na kuhamia kwenye frecuency nyingine,hakikisha na hakika ipo namna ya makutano huko, weka akiba ya wema na utu kwa viumbe wenzako, chagua furaha

Tukipata Tena neema ya KUANDIKA tutaandika kwa Sasa inatosha ,ukimdhuru mwenzako unapata faida Gani!!!!!
2024
 
Niwasalimu ndugu zangu hapa!!

Nimejikuta najiwazisha kwa sauti nikaona ni kheri niandike huenda Kuna Mwingine naye amepitiwa na frecuency kama hizi akaweka umakini hapo.

DHANA YA MATESO:

Kila nikisoma hivi karibu habari mbali mbali nakutana na binadamu kufanyiana mambo yanayopelekea kuuipoteza UHAI wa Mwingine bila Hiyari yake, it's very sad. Chagua furaha

Nikajiuliza Maswali kadhaa, ukimtesa mwenzio mwenye mwili kama wewe unapata faida Gani? Ukitoa tamaa za Mali, wakati Mwingine anapata MATESO wewe ndiye mtesaji mwenyewe unapata faida Gani? Chagua furaha

Nguvu utumie wewe,MATESO nipate Mimi ,kwa idadi yoyote ya kipimo Cha maumivu at the end Mwili wangu utakosa nguvu ya kushirikiana na nitarudi kwenye low frecuency (kifo) wewe unafaidi nini? Chagua furaha

Kwa sheria ya Asili sote tutarudi kwenye low frecuency bila KUOMBA kurudi huko. Let's pay respect for the living things including us as one of species on earth. Ukijiona una hasira ,jifunze namna Bora ya kuingiza pumzi na kutoa pumzi maana Katika hiyo ndipo tiba ya frecuency leveling inapatikana.. Don't kill. Chagua furaha

Kama ulifundishwa mahala kwamba ukimfanyia MTU ubaya unaoondoa frecuency ya juu kwamba utabaki salama basi ulifundishwa jambo lisilo sahihi, what goes around comes around , chagua furaha

Hakuna sababu on earth inayompa MTU uhalali wa kuondoa UHAI wa Mwingine,jamii yotote iliyofikia hatua hiyo ni jamii iliyokosa kuelewa dhana ya UPENDO na Kitendo, only words can heal our society (Tujifunze kuzungumza huu ulimwengu Tulipewa Ili tuufurahie siyo tutesane) chagua furaha

DHANA YA FURAHA:

Kinyume Cha MATESO ni FURAHA,lolote linalofanyika chini ya hili jua shabaha yake ilipaswa iwe FURAHA na ndiyo jitihada na juhudi za Kila MTU mwenye Mwili. Chagua furaha

Usiweke kikwazo Katika hatua za kufikia hiyo furaha, vikwazo ni vingi nakubali Lakini bado havizidi uwezo wetu wa kukabiliana navyo, chagua furaha

Tunamaliza safari yetu Katika frecuency hii yenye kushikika na kuhamia kwenye frecuency nyingine,hakikisha na hakika ipo namna ya makutano huko, weka akiba ya wema na utu kwa viumbe wenzako, chagua furaha

Tukipata Tena neema ya KUANDIKA tutaandika kwa Sasa inatosha ,ukimdhuru mwenzako unapata faida Gani!!!!!
2024
Chakushangaza Sasa hao wanaofanya hayo 7bunikuogopa mateso na kufa tu. asa c.jui ukiuwa mwenzako wew ndo utabaki salama.? yani anafanya hayo apate pesa anunuechakula awenauhakika wakula ili asife
 
Chakushangaza Sasa hao wanaofanya hayo 7bunikuogopa mateso na kufa tu. asa c.jui ukiuwa mwenzako wew ndo utabaki salama.? yani anafanya hayo apate pesa anunuechakula awenauhakika wakula ili asife
Dunia Ina ujinga na wajinga wengi!!! Tengeneza Amani Yako Ili umalize maisha ya Mwili huu wa nyama bila hatia moyoni
 
Niwasalimu ndugu zangu hapa!!

Nimejikuta najiwazisha kwa sauti nikaona ni kheri niandike huenda Kuna Mwingine naye amepitiwa na frecuency kama hizi akaweka umakini hapo.

DHANA YA MATESO:

Kila nikisoma hivi karibu habari mbali mbali nakutana na binadamu kufanyiana mambo yanayopelekea kuuipoteza UHAI wa Mwingine bila Hiyari yake, it's very sad. Chagua furaha

Nikajiuliza Maswali kadhaa, ukimtesa mwenzio mwenye mwili kama wewe unapata faida Gani? Ukitoa tamaa za Mali, wakati Mwingine anapata MATESO wewe ndiye mtesaji mwenyewe unapata faida Gani? Chagua furaha

Nguvu utumie wewe,MATESO nipate Mimi ,kwa idadi yoyote ya kipimo Cha maumivu at the end Mwili wangu utakosa nguvu ya kushirikiana na nitarudi kwenye low frecuency (kifo) wewe unafaidi nini? Chagua furaha

Kwa sheria ya Asili sote tutarudi kwenye low frecuency bila KUOMBA kurudi huko. Let's pay respect for the living things including us as one of species on earth. Ukijiona una hasira ,jifunze namna Bora ya kuingiza pumzi na kutoa pumzi maana Katika hiyo ndipo tiba ya frecuency leveling inapatikana.. Don't kill. Chagua furaha

Kama ulifundishwa mahala kwamba ukimfanyia MTU ubaya unaoondoa frecuency ya juu kwamba utabaki salama basi ulifundishwa jambo lisilo sahihi, what goes around comes around , chagua furaha

Hakuna sababu on earth inayompa MTU uhalali wa kuondoa UHAI wa Mwingine,jamii yotote iliyofikia hatua hiyo ni jamii iliyokosa kuelewa dhana ya UPENDO na Kitendo, only words can heal our society (Tujifunze kuzungumza huu ulimwengu Tulipewa Ili tuufurahie siyo tutesane) chagua furaha

DHANA YA FURAHA:

Kinyume Cha MATESO ni FURAHA,lolote linalofanyika chini ya hili jua shabaha yake ilipaswa iwe FURAHA na ndiyo jitihada na juhudi za Kila MTU mwenye Mwili. Chagua furaha

Usiweke kikwazo Katika hatua za kufikia hiyo furaha, vikwazo ni vingi nakubali Lakini bado havizidi uwezo wetu wa kukabiliana navyo, chagua furaha

Tunamaliza safari yetu Katika frecuency hii yenye kushikika na kuhamia kwenye frecuency nyingine,hakikisha na hakika ipo namna ya makutano huko, weka akiba ya wema na utu kwa viumbe wenzako, chagua furaha

Tukipata Tena neema ya KUANDIKA tutaandika kwa Sasa inatosha ,ukimdhuru mwenzako unapata faida Gani!!!!!
2024
Mkuu hili jambo linalohusisha kupora uhai wa binadamu mwingine kwa kukusudia na hatimaye huyo alieporwa uhai anatoweka jumla kwenye uso wa dunia na kufukiwa ardhini ama kokote kule, ilhali msababisha maumivu hadi umauti akiendelea kuishi, ni jambo ambalo nimekuwa nikilitafakari bila majibu kbs, bahati mbaya sana sina namna nzuri ya kuandika hisia zangu juu ya jambo hili, lakini nachelea kusema kwamba...baadhi ya binadamu zama hizi wameshaondoka kwenye ile hali ya kuwa binadamu kamili badala yake ni viumbe wenye roho ya tofauti na hii ya wanadamu tunaowajua...Si jambo rahisi kuondoa uhai wa binadamu mwingine halafu ukaendelea kula ugali kama kawaida. Mwisho, mada hii ilipaswa kuwa ktk jukwaa la hoja mchanganyiko ingepata wachangiaji na kuibua hisia mbalimbali.
 
Mkuu hili jambo linalohusisha kupora uhai wa binadamu mwingine kwa kukusudia na hatimaye huyo alieporwa uhai anatoweka jumla kwenye uso wa dunia na kufukiwa ardhini ama kokote kule, ilhali msababisha maumivu hadi umauti akiendelea kuishi, ni jambo ambalo nimekuwa nikilitafakari bila majibu kbs, bahati mbaya sana sina namna nzuri ya kuandika hisia zangu juu ya jambo hili, lakini nachelea kusema kwamba...baadhi ya binadamu zama hizi wameshaondoka kwenye ile hali ya kuwa binadamu kamili badala yake ni viumbe wenye roho ya tofauti na hii ya wanadamu tunaowajua...Si jambo rahisi kuondoa uhai wa binadamu mwingine halafu ukaendelea kula ugali kama kawaida. Mwisho, mada hii ilipaswa kuwa ktk jukwaa la hoja mchanganyiko ingepata wachangiaji na kuibua hisia mbalimbali.
Well Said brother!!!! Uchungu unaonekana mpaka kwenye uundaji wa sentence na maneno.

Wakati ni rafiki mzuri what goes around comes around...ukiweza upeleke tu kule ndugu yangu is an open source
 
Back
Top Bottom