moddybrown
Member
- May 2, 2016
- 27
- 25
Sorry mafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na ww unajifanya mjuaji kumbe hamna kitu, hakuna alteza inayokuja na 2jz, hizo alteza unazoziona tena kwenye team tezza wamefunga 1jz gte, wewe unaijua performance ya 2jz gte wewe? Kwanza cc zake ni balaa pili inahitaji body nzito kama crown hivi, wajapan wana akili sana kufunga 3s GE na 1G, hapo ukiangalia utaona cc zake hazitofautiani sana ingawa hii ni 6 na nyingine ni 4,ndio maana ukifunga 1jz gte yenye cc 2500 itakaa vizuri ingawa sio sana kutokana na injini kuwa na nguvu sana kuliko body. Tafuta clip za alteza iliyofungwa 1jz gte utaelewa nachokisema.Bio
4 cylinders RS200 zote ni 3S-GE. Ila sio Altezza zote ni 3S-GE. Kuna AS200 yenye 1G-FE na kuna AS300 ina 2JZ-GE.
1jz gte inatosha sana kwenye alteza hasa ukipata yenye turbo ni balaa kuanzia mlio hadi performance nadhani subaru inakaa pembeni mziki wakeNingenunua altezza ninge prefer yenye engine ya 2JZ-GE mtu asiniambie habari za Wese hapa wengine tuna prefer performance,nilikuaga na Celica nika swap na 1JZ engine aisee ilikua ni very fun.
Nadhani mziki wa 2JZ utakua ni noma sana mkuu.
Hujasoma comments zangu vizuri ndugu. Soma kwanza, then pitia hii link TOYOTA ALTEZZA GITA, AS300 catalog - reviews, pics, specs and prices | Goo-net ExchangeKumbe na ww unajifanya mjuaji kumbe hamna kitu, hakuna alteza inayokuja na 2jz, hizo alteza unazoziona tena kwenye team tezza wamefunga 1jz gte, wewe unaijua performance ya 2jz gte wewe? Kwanza cc zake ni balaa pili inahitaji body nzito kama crown hivi, wajapan wana akili sana kufunga 3s GE na 1G, hapo ukiangalia utaona cc zake hazitofautiani sana ingawa hii ni 6 na nyingine ni 4,ndio maana ukifunga 1jz gte yenye cc 2500 itakaa vizuri ingawa sio sana kutokana na injini kuwa na nguvu sana kuliko body. Tafuta clip za alteza iliyofungwa 1jz gte utaelewa nachokisema.
Nimesoma na nimeelewa vizuri tu ila concept yangu umeielewa vizuri sababu nimeelezea kitaalam kidogo, hiyo 2jz unaweza ukafunga kwenye Gita sababu ina body kubwaHujasoma comments zangu vizuri ndugu. Soma kwanza, then pitia hii link TOYOTA ALTEZZA GITA, AS300 catalog - reviews, pics, specs and prices | Goo-net Exchange
Nafikiri hizo gari huzifahamu vizuri. Zote zinalingana kwenye engine bay. Uzito kati ya Gita na Salon zinapishana kidogo saana, japo Gita ni nzito. Hiyo gari kwenye soko la US iliuzwa kama IS300 na ilikuja na engine ya 2JZ-GE as standad. Sasa sijaelewa huo utaalamu unaelezea nini. Maana 2JZ imekuja as standard, sio kwa modification kama unavyosema. Fuatilia kidogo tu utajua.Nimesoma na nimeelewa vizuri tu ila concept yangu umeielewa vizuri sababu nimeelezea kitaalam kidogo, hiyo 2jz unaweza ukafunga kwenye Gita sababu ina body kubwa
Hahah ngoja nijifunze kuipenda hio Gita mkuu.Hehehee. Iko poa tuu mbona. Ukikaa nayo ukiizoea. Hasa kama umeshacha suspension kwenye setting za kiwandani bila kuinyanyua.
Kweli hata mie enzi ninaziona online, nilikua sizipendi kabisa. Na ikiinuliwa kiukweli inakuwa mbaya.Hahah ngoja nijifunze kuipenda hio Gita mkuu.
Hiki lazima kinatumia umeme aise.Mkimaliza huko kwenye altezza mtusaidie na sisi tunao miliki bajaji kwa matumizi ya familia ( sio kwa biashara).
Ninamiliki haka
![]()
hapana kinatumia betri tu.Hiki lazima kinatumia umeme aise.
Safi saana. Ila nahisi bei yako iko juu balaa.hapana kinatumia betri tu.
Thnks mkuu nikifanya service ntamwambia fundi aicheckIle ina 3S-GE engine. Hakikisha hauzidishi ujazo wa oil wakati unafanya service, huwa ina tabia ya kuvuja kwenye valve cover gasket, ila pia tumia oil filter genuine sio zile fake. Na hakikisha timing belt iko poa. Sababu kwa hizo gari, timing belt ikikatika ukiwa kwenye mwendo, pistons zitapiga valves na itakua balaa.
Zote zinakula mafuta tena 3s kazidi kidogoFour cylinder ni SX10 na six ni GX ndio inayokula mafura
Duu...umemjibu kwa ukali. .wewe ungkuwa mwalimu hakika kwenye darasa lako siulizi swali[emoji23][emoji23]Ila we jamaa ni chai sana, Jamaa ameshakwambia ni 4Cylinders we unaleta habari zako hapa za 1JZ kazi ujuaji tu. Ulishaona 1jz ya 2.0 wewe?
1jz ni 6cylinders not 4 kwahiyo jamaa amemueleza kwa usahihi kabisa.
Soma vizuri kwa umakini halafu ndo ujibu ukiwa umetulia.
Ningenunua altezza ninge prefer yenye engine ya 2JZ-GE mtu asiniambie habari za Wese hapa wengine tuna prefer performance,nilikuaga na Celica nika swap na 1JZ engine aisee ilikua ni very fun.
Nadhani mziki wa 2JZ utakua ni noma sana mkuu.
ha ha ha ungeandika hivi1jz gte inatosha sana kwenye alteza hasa ukipata yenye turbo ni balaa kuanzia mlio hadi performance nadhani subaru inakaa pembeni mziki wake
Kumbe na ww unajifanya mjuaji kumbe hamna kitu, hakuna alteza inayokuja na 2jz, hizo alteza unazoziona tena kwenye team tezza wamefunga 1jz gte, wewe unaijua performance ya 2jz gte wewe? Kwanza cc zake ni balaa pili inahitaji body nzito kama crown hivi, wajapan wana akili sana kufunga 3s GE na 1G, hapo ukiangalia utaona cc zake hazitofautiani sana ingawa hii ni 6 na nyingine ni 4,ndio maana ukifunga 1jz gte yenye cc 2500 itakaa vizuri ingawa sio sana kutokana na injini kuwa na nguvu sana kuliko body. Tafuta clip za alteza iliyofungwa 1jz gte utaelewa nachokisema.
Kuna wajomba wanajua mpaka wana boaaaha ha ha ungeandika hivi
1jz inatosha kwa alteza ila ukipata 1jz gte na mlio wake wa turbo plus perfomance nadhan subaru inakaa pembeni
ukisema 1jz gte taar ina turbo sawa?? then subaru itakayokaa kwa 1jz gte with 280hp labda forester sio impreza
Ipo kwenye Gita tu hiyo tena sio zotewe sijui unaandika nn?? 2jz ge ni engine official kabisa inayopatikana kwa alteza labda 1jz ndo toleo la kwanza la teza hamna hata la pili lakini 2jz ipo kabisa kwa AS300