disheni
New Member
- Dec 26, 2018
- 2
- 3
"Ukitaka kujua ubaya wa Elimu ya Tanzania ukihitimu chuo mfano umesoma miaka 3 ukienda kuomba Ajira unaambiwa wanahitaji Mtu mwenye Experience ya miaka 5" Je miaka yako Mitatu uliyokuwa chuo ulikuwa unafanya nini?.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app