Ubaya wa Elimu ya Tanzania ni pale unapotafuta kazi

Ubaya wa Elimu ya Tanzania ni pale unapotafuta kazi

disheni

New Member
Joined
Dec 26, 2018
Posts
2
Reaction score
3
"Ukitaka kujua ubaya wa Elimu ya Tanzania ukihitimu chuo mfano umesoma miaka 3 ukienda kuomba Ajira unaambiwa wanahitaji Mtu mwenye Experience ya miaka 5" Je miaka yako Mitatu uliyokuwa chuo ulikuwa unafanya nini?.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kazi zipo za fresh graduate mnapigwa internship ndio mnaingia mzigoni.sema wengi hawataki shughuli ya kuwaanda,wanataka unaingia na kupiga mzigo kama super sub vile.ndio mambo ya experiance yanakuja.
 
Back
Top Bottom