Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Watanzanzania sio watoto wadogo. Wanaakili timamu. Tamko lako kuwa wabaya wanakufa na wema wanasurvive lilimlemga mojamoja kwa moja hayati JPM.
Kisa cha wewe kumlenga ni kwa sababu alidhibiti mafisadi ? Alihakikisha hakuna mgao wa umeme unaoletwa na January?
Alihakikisha kuwa pesa za umma zinakwenda hazina kuliko kuliwa? Pia alihakikisha raia wa chini hawakandamizwi na tozo onevu.
Huu ndio ubaya ulioumanisha ?
Kama ndio hivi basi furahia watanzania wakiteseka ma mgao wa January na tozo onevu
Kisa cha wewe kumlenga ni kwa sababu alidhibiti mafisadi ? Alihakikisha hakuna mgao wa umeme unaoletwa na January?
Alihakikisha kuwa pesa za umma zinakwenda hazina kuliko kuliwa? Pia alihakikisha raia wa chini hawakandamizwi na tozo onevu.
Huu ndio ubaya ulioumanisha ?
Kama ndio hivi basi furahia watanzania wakiteseka ma mgao wa January na tozo onevu