Ubaya wa Hayati JPM ni kudhibiti mianya ya rushwa na kusimamia vyema mapato ya Serikali?

Ubaya wa Hayati JPM ni kudhibiti mianya ya rushwa na kusimamia vyema mapato ya Serikali?

Mwaka huu tumeongezewa 10000 kipindi cha magufuli nilifitiwa kodi mpaka 11 % nikaona 51000 imeongezeka hata bila panic yeyyote kwenye kama mama alovyoleta tahruki kwenye mfumuko wa bei kwa nyongeza ya 10000
uliajiriwa lini? ukifutiwa kodi haina maana kwamba mshahara umepanda mkuu.
 
Waandishi wanaozungumza mabaya ya Magufuli hawazidi kumi ila wanajitihada kubwa sana, yaani mtu mmoja anaweza hata kuwa na comment zaidi ya saba, hiyo inafanya wengi waone picha mbaya ya Magufuli bila shaka aliawaumiza sana ndio maana hayupo lakini bado vita yake inaendelea, ila ukweli utabaki alikua kiongozi shupavu alietanguliza maslahi ya nchi kwanza na Chato baadae, tofauti nyie mnaetanguliza maslahi ya wazungu kwanza na familia zenu baadae yaani hata majirani/Jamie yenu mmesahau.
 
Back
Top Bottom