Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengi hawapendi kazi ya ualimu mimi binafi huwa sioni ubaya wa kazi hii labda wadau mnaionaje kazi ya ualimu na ubaya wake ni upi?
Bado hata hao waliopo kwenye nafasi za wizi, rushwa na masurufu ni wachache kwani wafanyakazi wengi wanalia ila sema wanaishi kwa matumaini ya one day yes tofauti na walimu lakini hao hao mwisho wa siku hulia pia. Ualimu upo poa kama mtu ataacha kunung'unika na kuchukua hatua kwanza nikiwaangalia wana muda wa kutosha kabisa kufanya mambo mengine pia siku hizi fursa za mikopo zipo hivyo mtu anaweza akawa na biashara yake sehemu hata kama ni ndogo lakini ana uhakika wa kuisimamia baada ya miaka mitano anaweza akawa sio mwinine tena, kuna mazingira watu huwa tunapiga pesa alafu wanafaidi wengine maana kwa jinsi unavyokuwa busy unakosa hata muda wa kusimamia issue zako mwisho wa siku unabaki na sifa "jamaa zungu anaacha hela za kufanya kazi anasepa hata mwezi"Kwa nchi yetu ukisikia mtu anasifiwa ana kazi nzuri haimaanishi mshahara wake, ni kwa sababu yupo sehemu ya wizi, rushwa au masurufu/marupurupu mengi. Kwa hivyo ualimu haupendwi kwa sababu hayo yote hauna.
Kama unafundisha vipindi vyako tu then unasepa kwenye mishe zako ubaya uko wapi? Usipende kuibaiba vinakostii
Watu wengi hawapendi kazi ya ualimu mimi binafi huwa sioni ubaya wa kazi hii labda wadau mnaionaje kazi ya ualimu na ubaya wake ni upi?
Ubaya wake hakuna cha kuiba.
Jiulize kwanini Nyerere aliacha ualimu akakimbilia siasa? MAGUFULI JE? LOWASSA NAE JE? MAGRETH SITTA,MACHALI,MAJALIWA,KAWAMBWA,MHAGAMA? Ukijua kwanini waliacha fani zao wakakimbilia mjengoni utajua pia sababu za ualimu kudharaulika.
Na ndivyo ilivyo sikuhizi,huniweki shule mpaka jioni mie,hata kama ni TOD,Ualimu raha sn,wanafunzi sikuhizi wanatupa tu tena wao wenyewe wanataka.
Me nimewafaidi sn na naendelea,ila nahakikisha hapati madhara yoyote pia anafaulu.Huwezi kuwafanya wake zako wafeli bwana, au sio walimu wenzangu?
Na ndivyo ilivyo sikuhizi,huniweki shule mpaka jioni mie,hata kama ni TOD,Ualimu raha sn,wanafunzi sikuhizi wanatupa tu tena wao wenyewe wanataka.
Me nimewafaidi sn na naendelea,ila nahakikisha hapati madhara yoyote pia anafaulu.Huwezi kuwafanya wake zako wafeli bwana, au sio walimu wenzangu?
Una muda gan kazini au tangu uanze kaz?Watu wengi hawapendi kazi ya ualimu mimi binafi huwa sioni ubaya wa kazi hii labda wadau mnaionaje kazi ya ualimu na ubaya wake ni upi?