Kazi sio mbaya tatzi unalipwa nn? And nobody cares wa nasahau mwlm ndo kila kitu. ..ukiwa mwalimu utapata maisha ya kawaida sana ukiendelea kwa ajili ya kazi unatumia nguvu nyingi sana. Binafsi sipendi kuwa mwalimu kwa sababu sipendelei kufundsha kila siku kurudia kitu hicho hcho. Ts gud but not in Tanzania