Ubaya wa kazi ya ualimu ni upi?

Ubaya wa kazi ya ualimu ni upi?

Kazi sio mbaya tatzi unalipwa nn? And nobody cares wa nasahau mwlm ndo kila kitu. ..ukiwa mwalimu utapata maisha ya kawaida sana ukiendelea kwa ajili ya kazi unatumia nguvu nyingi sana. Binafsi sipendi kuwa mwalimu kwa sababu sipendelei kufundsha kila siku kurudia kitu hicho hcho. Ts gud but not in Tanzania
 
Pia ukiwa tcha unabadilika ingawaje sio wote unaanza kuwa mkuda kichz Hahahaaaaa
 
Na ndivyo ilivyo sikuhizi,huniweki shule mpaka jioni mie,hata kama ni TOD,Ualimu raha sn,wanafunzi sikuhizi wanatupa tu tena wao wenyewe wanataka.
Me nimewafaidi sn na naendelea,ila nahakikisha hapati madhara yoyote pia anafaulu.Huwezi kuwafanya wake zako wafeli bwana, au sio walimu wenzangu?

Unawalala wanafunzi wako?🙊
 
Watu wengi hawapendi kazi ya ualimu mimi binafi huwa sioni ubaya wa kazi hii labda wadau mnaionaje kazi ya ualimu na ubaya wake ni upi?

kazi ni kazi ila maslah ndo shushu,..mpaka hapo mi sinaga hamu kabsa ngoja nikomae tu na fani yangu
 
Uzuri au ubaya wa kazi ya ualimu hutegemea na Mazingira ya kufanyia kazi au kituo ulichopo,kuna mazingira maji hufuatwa takriban km 3 tena yana chumvi dispensary iko km 20 alafu n ukame wa kufa mtu mwl/mkuu mwenyewe utakuta kauzu hatak hata upoteze dakika!

Anaogopewa MUNGU tu mkubwa, ukiwafuata wakuu utakufa maskini, mm ni mwalimu na sikubali KUPELEKEWA hata kidogo, ila kuna watu ni waoga balaa wakiambiwa kesho wote mje hao kama manyumbu, kwa kweli ukiwa unajielewa huku ndio pa kutokea ila ukibug utajuta kuzaliwa, walimu tubadilike tusikubali kuburuzwa jamani
 
Tatizo ualimu kinachoboa ni ile kula bagia na chai daily hadi unahisi kufa...lol
 
1hakuna maruputupu dhid ya mshahara
2hatakama huna kipindi inabidi uende shule
3mitaala inabadilishwa hupew semna
4mabos wengi mno
5jamii kwa sasa inadharau walimu
6mazingira mabovu ya kufanyia kazi
7kupanda madaraja ni ishu
Hapa kuna kaukweli
 
Back
Top Bottom