Na ndivyo ilivyo sikuhizi,huniweki shule mpaka jioni mie,hata kama ni TOD,Ualimu raha sn,wanafunzi sikuhizi wanatupa tu tena wao wenyewe wanataka.
Me nimewafaidi sn na naendelea,ila nahakikisha hapati madhara yoyote pia anafaulu.Huwezi kuwafanya wake zako wafeli bwana, au sio walimu wenzangu?
Ni kukosa masurufu (allowances) na rushwa. Vinginevyo ipo poa sana.
Maadili mabovu haya. Unaanzia wapi kumtongoza mwanafunzi wako?!.
Watu wengi hawapendi kazi ya ualimu mimi binafi huwa sioni ubaya wa kazi hii labda wadau mnaionaje kazi ya ualimu na ubaya wake ni upi?
Uzuri au ubaya wa kazi ya ualimu hutegemea na Mazingira ya kufanyia kazi au kituo ulichopo,kuna mazingira maji hufuatwa takriban km 3 tena yana chumvi dispensary iko km 20 alafu n ukame wa kufa mtu mwl/mkuu mwenyewe utakuta kauzu hatak hata upoteze dakika!
Hapa kuna kaukweli1hakuna maruputupu dhid ya mshahara
2hatakama huna kipindi inabidi uende shule
3mitaala inabadilishwa hupew semna
4mabos wengi mno
5jamii kwa sasa inadharau walimu
6mazingira mabovu ya kufanyia kazi
7kupanda madaraja ni ishu