Unaenda ofisini kwao na passport size, leseni, kadi ya gari ikiwezena gari lenyewe uende nalo.Niutaratibu gani inapaswa ufuatwe ili kumiliki akaunti Taxi ya mtandao?
Unaenda ofisini kwao na passport size, leseni, kadi ya gari ikiwezena gari lenyewe uende nalo.
Hilo linawezekana mkuuKwasasa kuna Taxi mtandao nyingi je unaweza kujiunga na akaunti zote kwenye simu moja.?
Unaenda uber unapewa barua kisha unaenda wizara ya mambo ya ndani kupiga finger print hlf unarudi uber kujisajiliNiutaratibu gani inapaswa ufuatwe ili kumiliki akaunti Taxi ya mtandao?