Uber wamerudi mjini kimya kimya?

Uber wamerudi mjini kimya kimya?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Majuzi juzi hapa nilisikia uber wamefunga biashara Tanzania kutokana na sheria kandamizi, za kutaka wachukue 20% ya mapato ya dereva na wao wanataka 25% kama sijakosea.

Jana Uber wamenitumia meseji kwa kuniapa offer za safari za mjini kwa discount kubwa tu.

Swali langu, je uber wamerudi Tanzania kimia kimia ama ile taarifa ilikua ya uongo?

Kama wamerudi wamerudi kwa sheria ipi, ile ya zamani waliokua wanawanyonya madereva ama hii mpya?

Anyway, kama wamerudi basi ni vyema, mimi uber kwangu ni favorite app kutokana na huduma zao, walipofunga nilisikitika sana ila kama wamerudi pia ni vyema.
 
Uber bado hawajarudi kwa usafiri wa magari. Bali ni kwa pikipiki na Bajaj. Ukitaka kujua vizuri kama wamerudi kimyakimya au kwa sauti ingia kwenye App ya mteja na jaribu kurequest Uber gari ndipo utajua ukweli. Ikikubali na gari kuja basi wamerudi na endapo ikikataa na automatically ukahamishiwa kwenye Bajaj... Utajiongeza.
 
Back
Top Bottom