Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 790
- 1,923
Tatizo mrisho unatembea peku ndio maana watu hukushangaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madee huyuWhozuu acha fujo [emoji23][emoji23][emoji23]
HaahahahahaLamba lolo bana
Tena Mark xWhozu si ana ndinga??
😀😀😀 itakua maana baba tupac ana wimbo mmojaAu ndo ule wa dudu LA Huyu?hahaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu atakua ni yule anaeimba aga aga aga..![emoji23]
Ilikuwa shida sana kutoka sehemu yoyote ile mpaka utafute sehemu zilipo bajaji kisha upande ndio uanze safari.
Ule umbali wa kuzitafuta bajaji unakuta watu wanakushangaa au ukifika stand unaanza kuomba bajaji akupunguzie bei wakati wao wanajua una hela kumbe huna lolote.
Uber & Taxify zimetuondolea sana aibu wasanii kipindi tukifulia.