Uber wametusaidia sana sisi wasanii

Tatizo mrisho unatembea peku ndio maana watu hukushangaa.
 
Whozuu acha fujo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Billnass Billnass..... Wewe ni Billnass unasumbua Sana Twitter mjinga wewe
 
Kwa kusoma koments Bilnas kapata kura nyingi
 
Hivi naweza pata contacts za wamiliki wa taxify au Uber
 
Halafu nyie wasanii hao madreva wa Uber wanawamaindi sana maana mnajidai mabaloz wa uber hamlipi nauli (hivyo dereva wa Uber haambulii kitu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…