Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu. Itarejea kanuni zikibadilishwa

Hii nchi chini ya watawala Wala rojo tunadanganyanya! Ilitakiwa iendelee kuwa chini ya mvuta bangi mmoja atunyooshe sema yaonesha Mungu Malaika walimzinguua Sana kuliko Watanzania hapa Duniani akamchukua kichaa wetu akawachunge Malaika.
 
Mtoa mada umeona vyema. Lakini tufanye nini ili mambo kama haya yakomeshwe. Wapi tunakosea kiasi cha kuchezewa na wawekezaji uchwara?
Tunahitaji katiba mpya.. Hizi sheria mbovu za uwekezaji zinatumiwa vibaya na wawekezaji wahuni kwa msaada wa watu wetu wenyewe tuliowakasimu nafasi za kusimamia tunu za taifa.. Hatuwajibishani wala hatuna uwezo wa kuwafukiza wawekezaji wahuni na waongo
 
Mkuu Uber hana Gari hata moja. Kifupi huna taarifa sahihi za hii biashara.
Asante maana yangu ni wale wanaojisajili kwa vigezo vyao ... Wao wana miundo mbinu taratibu na sheria walizoweka ili waweze kujisajili.. Mpunga unaingia kwao gari yako unalipwa kamisheni.. Nakubali unikosoe zaidi kwa nia ya kuelimishana
 
Madereva wameandamana kushinikiza kampuni mtandao ziongeze nauli, Uber inasemekana kagoma kuongeza wakati huo kuna baadhi zimetii.

Leo unapomnanga Uber, jiulize upo upande wa madereva au abiria?
Nipo upande wangu nadhani ila sina hakika
 
Madereva wanaolalamika malipo siyo wamiliki wa vyombo wanavyofanyia biashara...Uber imejijenga kwa wewe mmiliki wa gari ku share usafiri wako kwa muda wako na mhitaji wa usafiri kwa rate fulani, wabongo wameamua kuifanya kama kazi ya taxi, rate zilizokuwepo ikiwa gari ni yako na unaendesha mwenyewe unapata faida vizuri tuu, ila ukimuajiri dereva lazima apate machungu
 
Tatizo mmelileta wenyewe na uswahili wenu, kila Ramadhani ikifika mnatangaza hasara mnatoa talaka mnaoa mke mpya! Wazungu wamewaiga imekuwa shida.
 
Watu wanaleta ubishi wa kizaramo kwenye biashara ya bepari.

Haya endeleeni kupanda bodaboda zenu za kuita kwa miluzi ili afande murilo naye apate matukio ya kumshuhulisha.
 

UJANJA HUO HUO WA KUKWEPA KODI BAADA YA MIAKA MITANO ulitumiwa na HOME SHOPPING CENTRE WALIPOBADILI JINA KUWA GSM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…