Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu. Itarejea kanuni zikibadilishwa


Kwahiyo Mwisho wa Siku Manataka Kumuumiza Abiria.Abiria ndio alipe Mzigo wote[emoji2368][emoji15]
 
Kwahiyo Mwisho wa Siku Manataka Kumuumiza Abiria.Abiria ndio alipe Mzigo wote[emoji2368][emoji15]
Sasa serikali haitaki kubeba mzigo, mzigo huu unatwishwa mfanyabiashara, ambaye pekee yake hawezi! Serikali ilipaswa kugawana mzigo na wafanyabiashara hawa! Siyo kuwatwisha kichwani zigo la misumari ndani ya kiroba! Wajitafakari hapo hakuna mchawi wala katiba mbovu!
 
Kuna App za wazawa kama TANTAXI ambazo ziko vizuri sana na zingeleta mabadiliko ila watu wamekariri uber na Bolt. Uwekezaji pia lazima utazame wawekezaji wa ndani ambao gharama zao za uendeshaji sio kubwa kivile kiasi haitowalazimu kuweka kamisheni kubwa kama ilivyo kwa Bolt na Uber: TanTaxi Passenger - Apps on Google Play. Hii TanTaxi haikati kamisheni kwa sasa na wamedhamiria kutovuka asilimia 10%. Abiria anafaidika na dereva anafaidika na kupata moyo wa kutoka huduma nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…