Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
ππΌπππΌ ππΌππΌππππΌ ππΌπΎππππ ππΌπΌπππππππΌ ππΌππππππ πππΌππΏπΌ
Klabu ya Yanga imekabidhi mifuko 200 ya saruji na bati 70 kwa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) hapa Kigali kwa ajili ya waathirika wa mafuruko yaliyotokea mwezi Mei mwaka huu maeneo ya Rubavu na Wilaya ya Rutsiro jimbo la Kaskazini na wilaya ya Burera jimbo la Kusini mwa Rwanda.
Misaada hiyo imekabidhiwa na Rais wa Yanga, Hersi Said na kupokewa na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa WFP tawi la Rwanda hapa jijini Kigali, Munyazikwiye Jerome.
Wananchi kesho watakuwa na kibarua cha kumenyana na Al Merrikh kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)
Mechi itakuwa LIVE #AzamSports1HD saa 10:00 jioni
#CAFCL #YangaSC
Klabu ya Yanga imekabidhi mifuko 200 ya saruji na bati 70 kwa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) hapa Kigali kwa ajili ya waathirika wa mafuruko yaliyotokea mwezi Mei mwaka huu maeneo ya Rubavu na Wilaya ya Rutsiro jimbo la Kaskazini na wilaya ya Burera jimbo la Kusini mwa Rwanda.
Misaada hiyo imekabidhiwa na Rais wa Yanga, Hersi Said na kupokewa na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa WFP tawi la Rwanda hapa jijini Kigali, Munyazikwiye Jerome.
Wananchi kesho watakuwa na kibarua cha kumenyana na Al Merrikh kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)
Mechi itakuwa LIVE #AzamSports1HD saa 10:00 jioni
#CAFCL #YangaSC