Ubinafsi, uroho na tamaa za watawala sheria ya mafao kustaafu katika utumishi wa kisiasa

Hongera kwa uchambuzi mzuri.

Kumbe hawa jamaa wanakunja noti kias hiki?

Af wanaishia kugonga meza
 
Hawa wanyonya damu hawataacha kupeleka bungeni miswada yenye kujineemesha wao katikati ya lindi la umasikini wa wengi huku wakija na mapambio ya uzalendo bila kuwakemea na kuwapigia makelele na kukataa hila zoo hakika watafanya watakavyo hatuna budi kupaza sauti na kukemea.
 
Kwani huu mmuswada hata ukiwa sheria mpya ya mafao itamgusa mama Salma? Si huwa mnasema sheria hairudi nyuma( not retrospective)??.

Yaani, itaanza kutumika kwa watakaokuwa marais baada ya sheria kuanza kutumika. Mnisaidie mm wa huku Mbwinde.
 
๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Kazi ipo!
 
Nchi ngumu sana hii, walimu wanalia mishahara ni mibovu haitoshelezi mahitaji ya kila siku alfu kuna mtu analipwa pesa nyingi zote hizo na bado anataka zaidi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Naam ubaya ubaya tuu. Acha wazidi kutunyonya
 
Nchi ngumu sana hii, walimu wanalia mishahara ni mibovu haitoshelezi mahitaji ya kila siku alfu kuna mtu analipwa pesa nyingi zote hizo na bado anataka zaidi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Binadamu kaumbwa na upekee wake wa ubinafsi.Kila kizuri anataka yeye tu.
 
MWANACCM MZALENDO WA KWELI NA MWENYE UCHUNGU NA NCHI HII RASLIMALI ZAKE NA WANANCHI WAKE ALIKWISHA KUFA AMBAYE NI HAYATI BABA WA TAIFA MWL.NYERERE
Wengine wote licha ya kuwa ni WANACCM HAWANA UZALENDO na NCHI HII wala RASLIMALI ZAKE
Wamejiwekea KINGA ili WAKIFANYA UFISADI wasishtakiwe
Wanajirundikia MAFAO huku WALIMU na WATUMISHI wengine wakihaha
Wananchi ni Umasikini wanatembea nao
 
Serikali ya CCM kwa awamu karibu zote zimejaa ubinafsi uliokubuhu, umimi na ubadhirifu ulivuka mipaka!
Hawataki kuona japo wafanyakazi wengine tena waliotumikia Taifa kwa muda mrefu nao wakipata mafao mazuri.
Pamoja na ufisadi mkubwa wanaofanya na uharibifu wa raslimali za nchi badi hata kile kidogo wanataka tena kukikomba!
Mungu wetu yupo kama ni halali.
 
Chalinze na hilo.jimbo la Mchinga linanuka umaskini. Nakumbuka wakati wa JPM Rizmoko alimuomba maji Jiwe alimjibu Baba yako amekuwa rais miaka yaote hukuwaletea maji kwanini hukumuomba waletewe maji hawa wananchi.
 
Kama kuna familia yenye majizi na ya kijambazi ni hii ya kikwete, haina tofauti na ya Uhuru Kenyatta kule Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ