Ubinafsi wetu wanawake ndio chanzo cha wanaume kutuumiza

Mwanaume unaweza kuihudumia familia mda wote ,kama hamna kitu ndani mwanamke anaagiza tu ,hata awe na hela utakuta hata chumvi hanunui. Ikitokea huna hela haelewi zaidi atafanya mambo yake binafsi.
Hao viumbe Wana roho mbaya Sana,sio wakuwatendea wema kabisa kabisa
 
1. Hakumpenda

2. Alimjeruhi

Mwanamke akikupenda atakuwa tayari kwa lolote ili akustiri.

Ila sio haki kuchukulia mfano wa mwanamke mmoja kuhukumu wote!!!
 


Lakini kile chakula kikubwa cha Usiku si huwa anampa??--- ili kumliwaza!!🤣
 
Ntachangia nondo milimita 20...na mchanga Lori kubwa
Sanamu Yako Tunaijenga Wapi Nataka Nitangaze Tender Kwenye Gazeti. Tafadhali Taja Mkoa Wilaya Kata Tarafa Kijiji!!
Ukishindwa Kabisa Mimi Kwakuwa Natoa Cash
Nitapenda Ijengwe Msamvu Round About
Vigezo Ni Uelekeo Wa Dodoma
 
Mwanamke mwema yupo na mbaya yupo, sema namna ya kumpata mwema ni kazi....
 
Wanawake ni wabinafsi sana, dawa ya mwanamke ni kuishi nae na kumuacha kama ulivyo mkuta. Usimfungulie biashara wala kumuendeleza muache kama alivyo. Unapo muimarisha mwanamke anakuona wewe ni mjinga hasa ukiyumba au kupata changamoto yotote
Hali zikiruhusu, namuimarisha mwanamke mwenye watoto wangu. Akisepa hizo pesa atalisha wanangu. Kuna kafaida katapatikana tu. Baada ya hapo yakitokea ya kutokea naendelea kuganga na yajayo.

Ila katu simuimarishi kiuchumi hawala labda niamue kutoa kama sadaka.
 
Huyo dada hakumpenda jamaa,ila mwanamke akikupenda NYIEEEE
Back to me mama watoto hana kazi ni mama wa nyumbani,ila can u imagine huwa anabana hela ninayomuachia then ananichukulia zawadi kali sana,,halafu ukichek hela ninayomuachia ni kuduchuu mno
Huwezi jua ubaya wake kwakuwa anakutegemea wewe,subiri siku kibao kigeuke yeye ndio awe ana pesa kukuzidi ndio utamjua vizuri...
 
Subiri yakukute mkuu
 
Huyo dada hakumpenda jamaa,ila mwanamke akikupenda NYIEEEE
Back to me mama watoto hana kazi ni mama wa nyumbani,ila can u imagine huwa anabana hela ninayomuachia then ananichukulia zawadi kali sana,,halafu ukichek hela ninayomuachia ni kuduchuu mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Acha nicheke mie,una uhakika hakuna kidume anayemtunza kwa vimsimbazi msimbazi?.
 
There is a great woman and human in you. Libarikiwe tumbo lililobeba ujauzito wako na mikono iliyokubeba na kukulea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…