Ubinafsi wetu wanawake ndio chanzo cha wanaume kutuumiza

Mkuu naomba connection
 
Huyo dada hakumpenda jamaa,ila mwanamke akikupenda NYIEEEE
Back to me mama watoto hana kazi ni mama wa nyumbani,ila can u imagine huwa anabana hela ninayomuachia then ananichukulia zawadi kali sana,,halafu ukichek hela ninayomuachia ni kuduchuu mno
Mwanaume ampende mke wake
Mwanamke amheshimu mume wake.
 
Exactly,
yaan Kuna Wanawake wanaroho mbaya Sijui walizaliwaje.

Ni Kama uyu mwanamke nlokua namsimulia apa,

Mwezi march alikua anataka tv Samsung smart 50" afu analia Hana ela,

Kwakua Ni mpenz wangu,
Nkamwambia usinunue Hapa. sikU naagiza wee niandalie dola 250 ntakuchukulia Kwa Bei ya JUMLA niunganishe na mizigo yangu uipate kwa Bei nafuu sana.

Akafurahi na ile Ela akanipatia,
Sasa kwa Changamoto za covid nikakwama kurudi kwa wakati.

Aisee,
mwanamke alianza kejeli, matusi dharau na maneno ya shombo kibao.
Mara ooh
"uko na Malaya wako uko anasingizia covid"
"Yaan unatumia Ela zangu kutumbua na hao Malaya zako unanidanganya uko safar"
"Kama imeshndikana Naomba urudishe Ela zangu nikanunue kwingine"
"Nawajua nyie wafanyabiashara ndo zenu, hamna Cha tv Wala Nini, Ulitaka Ela zangu uzungushie upate faida. Mi sip mjinga kias icho."

NKAONA ISIWE TABU,
NKAFANYA utaratibu nikamtumia tu pesa zAke.

sikU so nyingi, Akapata shida inayohitaji dola 800.

Akajirudi anaomba msamaha, nimuazimishe pesa Eti Nafsi inamsuta.


Yaan wanawake wa style hii, Sijui aliwaroga nani
 
Wanaume wanatuita mbwaa ila wanawake wanaitwa nyoka tafakarii vzr kwann wanasema hivyoo
 
Kama mwanamke sio Mke Wako na HAUJAMZALISHA WATOTO. usimsomeshe.. usimuanzishie biashara, na hakika usijenge kabisa kwao.. ni hela ya chipsi tu ndio umpe..
Hata mkeo hakuna kumfungulia biashara wala kumsomesha
Wazazi wake hawakumfungulia biashara wanajua ujinga wa binti yao.
 
Hizo fedha ukute mama wa jamaa huko kijijini hata genge hajafunguliwa hata shamba hana, nyumba mbovu imelalia upande mmoja,

Kuna watu watu ni washamba wa mademu sana,
 
Unatengeneza stress BP na umaskini.
Acha kutafuta hela tafuta sababu za kukimbia hicho kifungo.
 
Hizo fedha ukute mama wa jamaa huko kijijini hata genge hajafunguliwa hata shamba hana, nyumba mbovu imelalia upande mmoja,

Kuna watu watu ni washamba wa mademu sana,
Yes kuna watu wa hovyo sana dunia hii. Na ndio maama hata mademu wenyewe wanawadharau.

Huyo demu anamdharau sana jamaa.

ukiwa mwanaume unapenda sana K kila mwanamke atakufanya kuwa mtumwa.
 
Ubarikiwe sana bidada. Dunia hii ya leo ni nadra sana kumsoma au kumsikia mwanamke akisema haya. 🙏🏾

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…