Ubinafsishaji wa Bandari ilikuwa game changer, je Rais Samia alikwama wapi?

Ubinafsishaji wa Bandari ilikuwa game changer, je Rais Samia alikwama wapi?

Martyr 360

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
433
Reaction score
660
Mimi niliposikia sakata la ubinafsishaji wa Bandari ilibidi nifaatilie mataifa mengine ambayo yaligundua Bandari zao hazifanyi vizuri wakazibinafsisha sasahivi zinaongoza kwa kufanya vizuri.

Kwahiyo suala la Bandari kubinafsishwa ni jambo la busara na hekima ya hali ya juu na naamini damu na nyama haikumfunulia hili bali Mungu wa mbinguni.

Tatizo ni utekelezaji wake, Rais Samia hakufata taratibu za nchi katika namna ya kutafuta mwekezaji, siyo kwamba yeye akatafute mtu wake wakubaliane huko halafu aje ashawishi Bunge likubaliane na mwekezaji!

Hhapa ndio kulikuwa na makosa makubwa lakini nadhani Rais Samia kama alipata wazo la kubinafsisha Bandari ilifaa alete Bungeni lijadiliwe, likipita aachie mifumo itafute mwekezaji yenyewe.
 
Mimi niliposikia sakata la ubinafsishaji wa Bandari ilibidi nifaatilie mataifa mengine ambayo yaligundua Bandari zao hazifanyi vizuri wakazibinafsisha sasahivi zinaongoza kwa kufanya vizuri.

Kwahiyo suala la Bandari kubinafsishwa ni jambo la busara na hekima ya hali ya juu na naamini damu na nyama haikumfunulia hili bali Mungu wa mbinguni.

Tatizo ni utekelezaji wake, Rais Samia hakufata taratibu za nchi katika namna ya kutafuta mwekezaji, siyo kwamba yeye akatafute mtu wake wakubaliane huko halafu aje ashawishi Bunge likubaliane na mwekezaji!

Hhapa ndio kulikuwa na makosa makubwa lakini nadhani Rais Samia kama alipata wazo la kubinafsisha Bandari ilifaa alete Bungeni lijadiliwe, likipita aachie mifumo itafute mwekezaji yenyewe.
DP World anayeanza uwekezaji Novemba mwaka huu ni mmiliki wa madini mengi kule DRC hivyo ni mpango wa Mungu kwamba licha ya kuwa na migodi pia ni mwendeshaji mahiri wa bandari na logistiki zake kwa mapana.

Ndio maana serikali haikuhitaji hata kufuata taratibu za manunuzi katika mchakato mzima wa kumkubali DP World, ilibidi itumike njia ya kumpata ambayo ni tofauti na zile zinazotumika muda huu katika kupata waendeshaji wa magati mengine ya bandari pamoja na bandari nyinginezo zile za Bagamoyo na Tanga.
 
Mimi niliposikia sakata la ubinafsishaji wa Bandari ilibidi nifaatilie mataifa mengine ambayo yaligundua Bandari zao hazifanyi vizuri wakazibinafsisha sasahivi zinaongoza kwa kufanya vizuri.

Kwahiyo suala la Bandari kubinafsishwa ni jambo la busara na hekima ya hali ya juu na naamini damu na nyama haikumfunulia hili bali Mungu wa mbinguni.

Tatizo ni utekelezaji wake, Rais Samia hakufata taratibu za nchi katika namna ya kutafuta mwekezaji, siyo kwamba yeye akatafute mtu wake wakubaliane huko halafu aje ashawishi Bunge likubaliane na mwekezaji!

Hhapa ndio kulikuwa na makosa makubwa lakini nadhani Rais Samia kama alipata wazo la kubinafsisha Bandari ilifaa alete Bungeni lijadiliwe, likipita aachie mifumo itafute mwekezaji yenyewe.
ni ulafi wa ccm kubaki madarakani
 
Back
Top Bottom