Tetesi: Ubinafsishaji wa NDC na NAFCO uko jikoni kisa ni ardhi yao

Tetesi: Ubinafsishaji wa NDC na NAFCO uko jikoni kisa ni ardhi yao

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Wakati wowote kuanzia sasa tutarajie ardhi iliyoko mikononi mwa NDC na NAFCO kukabidhiwa wageni kwa visingizio mashirika tajwa yanatutia hasara.

Serikali itayafuta mashirika tajwa na kuwauzia waarabu wa Dubai ardhi ya taasisi tajwa kwa bure hata sumni hawatatoa.

Kinachopiganiwa hapo ni watawala kujimilikisha ardhi wao wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji.

Kwa hii sera ya kuongeza mapato zaidi ya serikali huku raia wanafukarishwa kunachochea machafuko ya wenyewe kwa wenyewe.

Ardhi ni eneo linaloajiri watu wengi kwa kuwamilikisha ardhi wageni na watawala maana yake ni kuzalisha umanamba wa vijana wetu.


Sijui tutazinduka lini nchi inauzwa kila siku na siyo lwa manufaa yetu
 
Hii kazi amepewa Nehemiah Mchechu makusudi.

Ndio ile list ya mashirika ya umma anayoiandaa ili yafutwe, kwa kauli ya Rais Samia aliyosema yanaendeshwa kwa hasara.

Tunajua list ya mashirika mengi na tayari wa kuwagawia wameshawekwa huko huko.

Eti nchi hii tuna Usalama! Aisee pole Tanzania.
 
Wakati wowote kuanzia sasa tutarajie ardhi iliyoko mikononi mwa NDC na NAFCO kukabidhiwa wageni kwa visingizio mashirika tajwa yanatutia hasara.

Serikali itayafuta mashirika tajwa na kuwauzia waarabu wa Dubai ardhi ya taasisi tajwa kwa bure hata sumni hawatatoa.

Kinachopiganiwa hapo ni watawala kujimilikisha ardhi wao wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji.

Kwa hii sera ya kuongeza mapato zaidi ya serikali huku raia wanafukarishwa kunachochea machafuko ya wenyewe kwa wenyewe.

Ardhi ni eneo linaloajiri watu wengi kwa kuwamilikisha ardhi wageni na watawala maana yake ni kuzalisha umanamba wa vijana wetu.


Sijui tutazinduka lini nchi inauzwa kila siku na siyo lwa manufaa yetu
Hayo Mashirika lini yamejiendesha kwa ufanisi ? Tuanzie hapo?

Kama kufanya uwekezaji kutayaongezea ufanisi kuna shida gani?
 
Hii Serikali ni ya kimaku sana!,

Inashindwa kubinafsisha mashirika yasiyo na tija kama TANESCO inaenda kubinafsisha Bandari na mashirika yenye tija kwa mtu wa kipato cha kawaida....

Amini nakwambia ingebinafsishwa Tanesco Badala ya Bandari.... hizi kelele zisingekuwepo....

Tanesco na @TTCL Ni mashirika hovyo kabisa!!!

Poor customer service wanafanya Kazi wanavyojiskia
 
Hii Serikali ni ya kimaku sana!,

Inashindwa kubinafsisha mashirika yasiyo na tija kama TANESCO inaenda kubinafsisha Bandari na mashirika yenye tija kwa mtu wa kipato cha kawaida....

Amini nakwambia ingebinafsisgwa Tanesco hizi kelele zisingekuwepo....

Tanesco na @TTCL Ni mashirika hovyo kabisa!!!

Poor customer service wanafanya Kazi wanavyojiskia
Hata hayo watawamilikisha waarabu wa Dubai ila tunajua msukumo ni wao wenyewe ndiyo watakuwa wamiliki halisi.

Bei za umeme zitapanda maradufu pamoja uzalishaji wa umeme ni wetu. Wengi hawataweza kumudu gharama zake
 
Wakati wowote kuanzia sasa tutarajie ardhi iliyoko mikononi mwa NDC na NAFCO kukabidhiwa wageni kwa visingizio mashirika tajwa yanatutia hasara.

Serikali itayafuta mashirika tajwa na kuwauzia waarabu wa Dubai ardhi ya taasisi tajwa kwa bure hata sumni hawatatoa.

Kinachopiganiwa hapo ni watawala kujimilikisha ardhi wao wenyewe kwa mgongo wa wawekezaji.

Kwa hii sera ya kuongeza mapato zaidi ya serikali huku raia wanafukarishwa kunachochea machafuko ya wenyewe kwa wenyewe.

Ardhi ni eneo linaloajiri watu wengi kwa kuwamilikisha ardhi wageni na watawala maana yake ni kuzalisha umanamba wa vijana wetu.


Sijui tutazinduka lini nchi inauzwa kila siku na siyo lwa manufaa yetu
Sasa kama mashirika yanashingwa kujiendesha kwanini yasibinafsishe?


Tanzania hakuna mwenye ardhi kuna watumiaji wa ardhi, ardhi yote ipo chini ya serikali kuu.
 
Tupe uthibitisho kuwa wanaomilikishwa ni watawala
NBC hujui inamilikiwa na nani? Kama hujui kanywe togwa. Kama hujui Barrick Gold Tanzania ni ya akina nani basi kabugie ulanzi.

Kama hujui vodacom ni akina nani basi kauchape.

Kuna siku Julian Asange atakujuza kupitia wikileaks
 
Wewe ni mtanganyika kweli tangia lini kuwamilikisha wageni rasimali za nchi kukawa na faida?

Labda sijakuelewa bro, Wanawamilikisha au kuwakodishaa? Lkn cha msingi faida ziwe kwa pande zote mbili.

Ila uzoefu unaonesha, kiongozi akitokea upande mwingine wa bahati, wana kawaida kutapanya mali. Mfano ni kule bustani ya wanyama mwitu.
 
Labda sijakuelewa bro, Wanawamilikisha au kuwakodishaa? Lkn cha msingi faida ziwe kwa pande zote mbili.

Ila uzoefu unaonesha, kiongozi akitokea upande mwingine wa bahati, wana kawaida kutapanya mali. Mfano ni kule bustani ya wanyama mwitu.
Hakuna faida unapowamilikisha wageni ingelikuwepo leo hii nchi hii ingelikuwa tajiri sanaaaaaaa
 
Sasa kama mashirika yanashingwa kujiendesha kwanini yasibinafsishe?


Tanzania hakuna mwenye ardhi kuna watumiaji wa ardhi, ardhi yote ipo chini ya serikali kuu.

Kwa hiyo njia pekee ya kuepuka hasara kwa makampuni hapo ni kubinafsisha?
 
Sasa kama mashirika yanashingwa kujiendesha kwanini yasibinafsishe?


Tanzania hakuna mwenye ardhi kuna watumiaji wa ardhi, ardhi yote ipo chini ya serikali kuu.
Mtoto wako atakuwa manamba subiri inakuja
 
Sasa kama mashirika yanashingwa kujiendesha kwanini yasibinafsishe?


Tanzania hakuna mwenye ardhi kuna watumiaji wa ardhi, ardhi yote ipo chini ya serikali kuu.
Matahira ya CCM yenye akili tope Kama zako na Bi kirembwe ndio hawana akili.
 
Huyu Nehemiah Msechu si ndiye alikuwa wakati wa Mkapa yuko kwenye kitengo cha ubinafsishaji?
Sijui kabla ya Kikwete alikuwa wapi .

Ila JK alimtoa ktk sekta binafsi huko , mwaka 2010, ndio akapewa NHC, hadi alipokuja kuwekwa pembeni na JPM


Screenshot_20230814-175054.jpg


Screenshot_20230814-174418.jpg


Halafu kaja kurudishwa na Samia, na badae kumuhamishia huko HAZINA
 
Back
Top Bottom