ubingwa wa enyimba champions league 2003, na mamelodi 2016 kama naiona kwa simba vile . Babra na Mo wananitisha mimi Mwanayanga

ubingwa wa enyimba champions league 2003, na mamelodi 2016 kama naiona kwa simba vile . Babra na Mo wananitisha mimi Mwanayanga

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau..

Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?

Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi.

Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai kuifikia enugu rangers wala haijawai kuifikia heartland kwa mashabiki .. ila ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa wa africa kutoka nigeria na tena sio mara moja. Safari ya enyimba naiona kama simba maana kuna mtu anaitwa mzee Kalu.. mu Igbo mwenye hela zake mzaliwa wa enyimba village, aliamua kuweka hela kama Mo anavyofanya simba.. kama mo alivyompeleka babra simba. Kalu na yeye alimpeleka binti yake enyimba ndio akawa mlipaji wa kila kitu cha timu.. kalu aliogopa kuibiwa

Pia hata Mamelodi sundowns safari yao ya ubingwa wa caf champions legue 2016.. ina story kama ya simba.. maana south africa mamelodi imezidiwa kiasi kikubwa na vigogo kaizer chiefs na orlando pirates.. ila ndio timu pekee mamelodi inasumbua caf.. maana kuna mtu kama mo aliamua kuweka hela anaitwa mzee motsepe.

Mimi mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina msolla...

Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu.. msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko.. anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira.

Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee kalu.. na akaifanya timu iwe kigogo africa..

Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe..

Yanga gsm hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa simba.

Huu uzi mods usiufute.. ili uwe kumbu kumbu pale simba watavyotwaa Caf champions league kama utani vile.. huku yanga tunabaki na msemo timu ya wananchiii na kulilia penaly ligi ya wendawazimu bongo.

Kwa mnaotaka kujua story ya enyimba na kalu someni hapa .. mtajua Mo ni kalu wa simba.

 
GSM waliweka pesa yao yanga wakaishia tu kutengeza madela yaliyoandikwa utopolo fc.

Gsm hajaweka hela yanga.. gsm mchezaji gani wa yanga mfano kamsajili kwa milioni hata 100 tu.. huku simba Mo kuna watu wamepewa mpaka milioni 500.

Gsm anasaidia timu tu na anajua msolla mpigaji ndio maana kamleta engineer Hersi ila gsm hajaweka hela ya maana yanga na hawezi kuweka kwa mfumo wa kina msolla... gsm sio mjinga
 
Mleta uzi alindwe kwa vifaru vya kijeshi ni tunu ya Taifa.Hivi ndio vichwa vya kupewa vitengo.Nimekuvisha nyota zote na saaa na kifimbo na mwenge.Huu ndio uchambuzi sio kama wa mashoga wale kina Edgar Kibwana au kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu.
 
In short naweza tu kusema simba kama simba mtatapatapa sana mtaleta kila mapambio ya kuisfu timu yenu na kukandia timu za wengine lakini mkae mkijua amuwezi chukua ubingwa wa Africa kabla ya Dar es salam Young African aijachukua mtabaki na hizo tambo zenu za sisi ndio timu ya kwanza kucheza robo fainali lakini sio kuchukua ubingwa
 
Gsm hajaweka hela yanga.. gsm mchezaji gani wa yanga mfano kamsajili kwa milioni hata 100 tu.. huku simba Mo kuna watu wamepewa mpaka milioni 500.

Gsm anasaidia timu tu na anajua msolla mpigaji ndio maana kamleta engineer Hersi ila gsm hajaweka hela ya maana yanga na hawezi kuweka kwa mfumo wa kina mosolla... gsm sio mjinga
Una type kwa machungu ukiwa wapi 😂😂😂

Bado tunapanda, Tunapanda milima, Najua tutafika, Tutafika lazima.
 
In short naweza tu kusema simba kama simba mtatapatapa sana mtaleta kila mapambio ya kuisfu timu yenu na kukandia timu za wengine lakini mkae mkijua amuwezi chukua ubingwa wa Africa kabla ya Dar es salam Young African aijachukua mtabaki na hizo tambo zenu za sisi ndio timu ya kwanza kucheza robo fainali lakini sio kuchukua ubingwa
Kesi ya Morison inatolewa hukumu lini?
 
Habari wadau..

Nimeona documentary ya enyimba success .. timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?

Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi..

Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai kuifikia enugu rangers wala haijawai kuifikia heartland kwa mashabiki .. ila ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa wa africa kutoka nigeria na tena sio mara moja. Safari ya enyimba naiona kama simba maana kuna mtu anaitwa mzee Kalu.. mu Igbo mwenye hela zake mzaliwa wa enyimba village, aliamua kuweka hela kama Mo anavyofanya simba.. kama mo alivyompeleka babra simba. Kalu na yeye alimpeleka binti yake enyimba ndio akawa mlipaji wa kila kitu cha timu.. kalu aliogopa kuibiwa

Pia hata Mamelodi sundowns safari yao ya ubingwa wa caf champions legue 2016.. ina story kama ya simba.. maana south africa mamelodi imezidiwa kiasi kikubwa na vigogo kaizer chiefs na orlando pirates.. ila ndio timu pekee mamelodi inasumbua caf.. maana kuna mtu kama mo aliamua kuweka hela anaitwa mzee motsepe.

Mimi mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina msolla...

Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu.. msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko.. anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira


Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee kalu.. na akaifanya timu iwe kigogo africa..

Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe..

Yanga gsm hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa simba.


Huu uzi mods usiufute.. ili uwe kumbu kumbu pale simba watavyotwaa Caf champions league kama utani vile.. huku yanga tunabaki na msemo timu ya wananchiii na kulilia penaly ligi ya wendawazimu bongooo

Kwa mnaotaka kujua story ya enyimba na kalu someni hapa .. mtajua Mo ni kalu wa simba

Simba akiingia hata nusu fainali nahama nchi. Save my comment.
 
In short naweza tu kusema simba kama simba mtatapatapa sana mtaleta kila mapambio ya kuisfu timu yenu na kukandia timu za wengine lakini mkae mkijua amuwezi chukua ubingwa wa Africa kabla ya Dar es salam Young African aijachukua mtabaki na hizo tambo zenu za sisi ndio timu ya kwanza kucheza robo fainali lakini sio kuchukua ubingwa
unajua kuna mengine tusibishane sana mbali na yote hayo wachezaji wanapambana kufa na kupona kuna hela MO kaamua kumwaga ni kama vile anasema ile 1.2 billions waliyopata kuingia makundi anaitoa yote ili wafike robo fainali....walipoitoa platnuma na kutinga makundi walipewa 250 millions...walipoifunga vita walipewa 280 millions walipoifunga al alhy walipewa 200 millions UNAONA HAPO MECHI TATU TU MO KATUMIA TAYARI 750 MILLIONS....
siku mapinduzi fainali wanaahidiwa kwamba wakiifunga yanga goals 4 kwenda juu watapewa million 300 ikashindikana kama unakumbuka Onyango kwenye interview aliomba viongozi wawape hata kidogo kwa kufika fainali,ilimuuma ile hela kuikosa sasa unadhani sura ya kazi onyango unamtangazia kuna usd 5000 after 90 minutes nini kitatokea?
 
Habari wadau..

Nimeona documentary ya enyimba success .. timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?

Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi..

Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai kuifikia enugu rangers wala haijawai kuifikia heartland kwa mashabiki .. ila ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa wa africa kutoka nigeria na tena sio mara moja. Safari ya enyimba naiona kama simba maana kuna mtu anaitwa mzee Kalu.. mu Igbo mwenye hela zake mzaliwa wa enyimba village, aliamua kuweka hela kama Mo anavyofanya simba.. kama mo alivyompeleka babra simba. Kalu na yeye alimpeleka binti yake enyimba ndio akawa mlipaji wa kila kitu cha timu.. kalu aliogopa kuibiwa

Pia hata Mamelodi sundowns safari yao ya ubingwa wa caf champions legue 2016.. ina story kama ya simba.. maana south africa mamelodi imezidiwa kiasi kikubwa na vigogo kaizer chiefs na orlando pirates.. ila ndio timu pekee mamelodi inasumbua caf.. maana kuna mtu kama mo aliamua kuweka hela anaitwa mzee motsepe.

Mimi mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina msolla...

Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu.. msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko.. anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira


Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee kalu.. na akaifanya timu iwe kigogo africa..

Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe..

Yanga gsm hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa simba.


Huu uzi mods usiufute.. ili uwe kumbu kumbu pale simba watavyotwaa Caf champions league kama utani vile.. huku yanga tunabaki na msemo timu ya wananchiii na kulilia penaly ligi ya wendawazimu bongooo

Kwa mnaotaka kujua story ya enyimba na kalu someni hapa .. mtajua Mo ni kalu wa simba

Amka kumekucha, ndoto za namna hii husababishwa na kulalia masikio kwa muda mrefu.
 
Habari wadau..

Nimeona documentary ya enyimba success .. timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?

Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi..

Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai kuifikia enugu rangers wala haijawai kuifikia heartland kwa mashabiki .. ila ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa wa africa kutoka nigeria na tena sio mara moja. Safari ya enyimba naiona kama simba maana kuna mtu anaitwa mzee Kalu.. mu Igbo mwenye hela zake mzaliwa wa enyimba village, aliamua kuweka hela kama Mo anavyofanya simba.. kama mo alivyompeleka babra simba. Kalu na yeye alimpeleka binti yake enyimba ndio akawa mlipaji wa kila kitu cha timu.. kalu aliogopa kuibiwa

Pia hata Mamelodi sundowns safari yao ya ubingwa wa caf champions legue 2016.. ina story kama ya simba.. maana south africa mamelodi imezidiwa kiasi kikubwa na vigogo kaizer chiefs na orlando pirates.. ila ndio timu pekee mamelodi inasumbua caf.. maana kuna mtu kama mo aliamua kuweka hela anaitwa mzee motsepe.

Mimi mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina msolla...

Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu.. msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko.. anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira


Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee kalu.. na akaifanya timu iwe kigogo africa..

Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe..

Yanga gsm hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa simba.


Huu uzi mods usiufute.. ili uwe kumbu kumbu pale simba watavyotwaa Caf champions league kama utani vile.. huku yanga tunabaki na msemo timu ya wananchiii na kulilia penaly ligi ya wendawazimu bongooo

Kwa mnaotaka kujua story ya enyimba na kalu someni hapa .. mtajua Mo ni kalu wa simba

Bitter truth

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gsm ni mjanja bora ya manji alikuwa serious simba tunataka mpinzani mwenye nguvu siyo yanga legelege
 
Enyimba iko wapi siku hizi ama tajiri alijitoa vp pia timu za waarabu mbona hazichukui sana caf champions na hela wako vzr
 
Enyimba iko wapi siku hizi ama tajiri alijitoa vp pia timu za waarabu mbona hazichukui sana caf champions na hela wako vzr

Enyimba ipo... msimu uliopita ilitolewa nusu fainalo ya caf confederation cup, na msimu huu ipo hatua ya makundi... binti wa tajiri alifariki wakaanza kumuibia mzee kalu.

Ila pamoja na kutotwaa mataji enyimba bado anafika nusu fainali sana tu mashindano ya caf.

Timu imekuwa brand kubwa. Juzi wamefungua uwanja wao wa kisasa mjini aba..

Enyimba ndio timu pekee ya nigeria kumiliki uwanja wa nyumbani wa kisasa... hata mazembe hana uwanja mzuri kama wa enyimba
 
Habari wadau..

Nimeona documentary ya enyimba success .. timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?

Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi..

Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai kuifikia enugu rangers wala haijawai kuifikia heartland kwa mashabiki .. ila ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa wa africa kutoka nigeria na tena sio mara moja. Safari ya enyimba naiona kama simba maana kuna mtu anaitwa mzee Kalu.. mu Igbo mwenye hela zake mzaliwa wa enyimba village, aliamua kuweka hela kama Mo anavyofanya simba.. kama mo alivyompeleka babra simba. Kalu na yeye alimpeleka binti yake enyimba ndio akawa mlipaji wa kila kitu cha timu.. kalu aliogopa kuibiwa

Pia hata Mamelodi sundowns safari yao ya ubingwa wa caf champions legue 2016.. ina story kama ya simba.. maana south africa mamelodi imezidiwa kiasi kikubwa na vigogo kaizer chiefs na orlando pirates.. ila ndio timu pekee mamelodi inasumbua caf.. maana kuna mtu kama mo aliamua kuweka hela anaitwa mzee motsepe.

Mimi mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina msolla...

Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu.. msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko.. anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira


Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee kalu.. na akaifanya timu iwe kigogo africa..

Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe..

Yanga gsm hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa simba.


Huu uzi mods usiufute.. ili uwe kumbu kumbu pale simba watavyotwaa Caf champions league kama utani vile.. huku yanga tunabaki na msemo timu ya wananchiii na kulilia penaly ligi ya wendawazimu bongooo

Kwa mnaotaka kujua story ya enyimba na kalu someni hapa .. mtajua Mo ni kalu wa simba

Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe.

Hii Mamelodi Sundown almaarufu "Masandawana" ima "The Brazilians" ni project ya Motsepe mwenyewe. Hakupewa na watu wengine.

Model yake ni kama Azam FC.
 
Back
Top Bottom