Habari wadau..
Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?
Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi.
Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai kuifikia enugu rangers wala haijawai kuifikia heartland kwa mashabiki .. ila ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa wa africa kutoka nigeria na tena sio mara moja. Safari ya enyimba naiona kama simba maana kuna mtu anaitwa mzee Kalu.. mu Igbo mwenye hela zake mzaliwa wa enyimba village, aliamua kuweka hela kama Mo anavyofanya simba.. kama mo alivyompeleka babra simba. Kalu na yeye alimpeleka binti yake enyimba ndio akawa mlipaji wa kila kitu cha timu.. kalu aliogopa kuibiwa
Pia hata Mamelodi sundowns safari yao ya ubingwa wa caf champions legue 2016.. ina story kama ya simba.. maana south africa mamelodi imezidiwa kiasi kikubwa na vigogo kaizer chiefs na orlando pirates.. ila ndio timu pekee mamelodi inasumbua caf.. maana kuna mtu kama mo aliamua kuweka hela anaitwa mzee motsepe.
Mimi mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina msolla...
Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu.. msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko.. anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira.
Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee kalu.. na akaifanya timu iwe kigogo africa..
Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe..
Yanga gsm hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa simba.
Huu uzi mods usiufute.. ili uwe kumbu kumbu pale simba watavyotwaa Caf champions league kama utani vile.. huku yanga tunabaki na msemo timu ya wananchiii na kulilia penaly ligi ya wendawazimu bongo.
Kwa mnaotaka kujua story ya enyimba na kalu someni hapa .. mtajua Mo ni kalu wa simba.
www.fifa.com
Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?
Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi.
Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai kuifikia enugu rangers wala haijawai kuifikia heartland kwa mashabiki .. ila ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa wa africa kutoka nigeria na tena sio mara moja. Safari ya enyimba naiona kama simba maana kuna mtu anaitwa mzee Kalu.. mu Igbo mwenye hela zake mzaliwa wa enyimba village, aliamua kuweka hela kama Mo anavyofanya simba.. kama mo alivyompeleka babra simba. Kalu na yeye alimpeleka binti yake enyimba ndio akawa mlipaji wa kila kitu cha timu.. kalu aliogopa kuibiwa
Pia hata Mamelodi sundowns safari yao ya ubingwa wa caf champions legue 2016.. ina story kama ya simba.. maana south africa mamelodi imezidiwa kiasi kikubwa na vigogo kaizer chiefs na orlando pirates.. ila ndio timu pekee mamelodi inasumbua caf.. maana kuna mtu kama mo aliamua kuweka hela anaitwa mzee motsepe.
Mimi mwanayanga ila naona kabisa simba atatwaa caf champions league mapema kuliko yanga yangu kwa staili yetu ya kuwapa vyeo kina msolla...
Wazee kama Msolla kwa mfano ukweli kabisa mabadiliko hayataki ila anazuga anayataka kwa mbinu ya kuyachelewesha ili ale pesa za yanga mpaka anazeeka na kustaafu.. msolla sio mjinga kuchelewesha mabadiliko.. anajua yakija haraka cheo chake kitafutwa na yeye atakosa ajira.
Enyimba wa igbo waliamua kumpa timu mzee kalu.. na akaifanya timu iwe kigogo africa..
Mamelodi pia waliamua kumpa timu mzee Motsepe..
Yanga gsm hawezi kuweka hela za kutosha sababu hajapewa timu kama Mo alivyopewa simba.
Huu uzi mods usiufute.. ili uwe kumbu kumbu pale simba watavyotwaa Caf champions league kama utani vile.. huku yanga tunabaki na msemo timu ya wananchiii na kulilia penaly ligi ya wendawazimu bongo.
Kwa mnaotaka kujua story ya enyimba na kalu someni hapa .. mtajua Mo ni kalu wa simba.
Welcome to FIFA.com News - Memories of the People's Elephant - FIFA.com
FIFA.com tells the story of Enyimba, the 'People's Elephant', and their remarkable rise to prominence in African football from humble beginnings.