- Thread starter
- #41
Mleta uzi alindwe kwa vifaru vya kijeshi ni tunu ya Taifa.Hivi ndio vichwa vya kupewa vitengo.Nimekuvisha nyota zote na saaa na kifimbo na mwenge.Huu ndio uchambuzi sio kama wa mashoga wale kina Edgar Kibwana au kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu.
Leo tumefungwa na msolla yupo yupo tu