Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
“Tumefurahi na lazima tukaonyeshe furaha yetu, kwa hiyo tumeandaa WANANCHI COMEDY FESTIVAL, NJOONI TUWACHEKE wote Waliokufa kiume, kilele chao cha kuchekwa kitakuwa ni Mei 05, 2023, mashujaa wote waliokufa kiume Afrika nzima kilele chao cha kuchekwa ni Tar 05.
“Ukiona ulikufa kiume, hujaua wanaume Tar 5 una shughuli ya kuchekwa na Yanga, Hii ni siku ya wanachama, washabiki wa Yanga tunakutana mahali tucheke tufurahi,” Afisa Habari wa Yanga, @alikamwe
#WasafiSports
“Ukiona ulikufa kiume, hujaua wanaume Tar 5 una shughuli ya kuchekwa na Yanga, Hii ni siku ya wanachama, washabiki wa Yanga tunakutana mahali tucheke tufurahi,” Afisa Habari wa Yanga, @alikamwe
#WasafiSports