Haya maneno ya kujifariji ukipendwa na hicho chuma lazima umtelekeze huyo mkeo na hamnaga mwanaume jasiri kwa mtoto mzuri.
Haya maneno ya kujifariji ukipendwa na hicho chuma lazima umtelekeze huyo mkeo na hamnaga mwanaume jasiri kwa mtoto mzuri.
Simba mwenyewe kakimbia hahahahah hatari uzuri wa mwanamke akiwa si wako
Ukishamlala huyo manzi unaweza kuona hana lolote ni heri ununue malaya kimboka mkuu usijiapize hizo nguo tu . Hata yale masanamu kwenye maduka ya nguo mbona yanapendeza ? Kuna uzuri na utamu kuwa makini.Haya maneno ya kujifariji ukipendwa na hicho chuma lazima umtelekeze huyo mkeo na hamnaga mwanaume jasiri kwa mtoto mzuri.
Ndo unajua Leo dingii??,Chuga kunae mamaa mboko ni kinyama.Huyo mmeru ninaomba number yake please Mungu aisee ni fundi Kuna baadhi ya wanawake wamependelewa Kama huyo mmeru kumbe Arusha Kuna vyombo vikali kiasi hicho
Sema me tatizo nipo dar.Ndo unajua Leo dingii??,Chuga kunae mamaa mboko ni kinyama.
Hujawahi timba Chuga mjuba nn?!Sema me tatizo nipo dar.
Umeongea point kubwa dada kuliko wote waliocommentAtaemla ndio atajua uzuri wake
Sijawahi kabisa zaidi ya kuisikia na kuisoma kwenye vitabu.Vip mademu wa uko wanapiga mizinga Sana?Hujawahi timba Chuga mjuba nn?!
Hapana man ni tabia ya manzi mwenyewe,,Kuna mamanzi wa Ki'Iraq au Wambulu,Wachaga,wapare,Wamaasai,Waarusha na wameru ni wakali Si poa,ila sema Wambulu waga hawanyimani wale ni hawajatulia hapo ndo wanapozingua,Sijawahi kabisa zaidi ya kuisikia na kuisoma kwenye vitabu.Vip mademu wa uko wanapiga mizinga Sana?
Wewe una manzi yupi?Hapana man ni tabia ya manzi mwenyewe,,Kuna mamanzi wa Ki'Iraq au Wambulu,Wachaga,wapare,Wamaasai,Waarusha na wameru ni wakali Si poa,ila sema Wambulu waga hawanyimani wale ni hawajatulia hapo ndo wanapozingua,
Bora umenisaidia
swadakta
madem kama hawa sio wa kuweka ndani mamamae utakopa bank zote,vikoba tigo nivushe hadi branch😁Kumekuwa na mabishano mengi kuhusu uzuri wa hawa watu wawili, mmoja Ni mkenya mwingine ni mmeru wa Tanzania, nani mzuri zaidi.View attachment 1384008View attachment 1384009View attachment 1384011View attachment 1384012
Mbona ana tumbo halaf tako lake kibamia