joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 17,420 Reaction score 35,765 Nov 27, 2018 #261 ladyneema said: Labda we ndo maskini, unabishana na mtu usomjua kwahyo bora upige jiiiiiiiiiiiiii Click to expand... Na sitaki kukujua kwani kwa akili na mawazo yako huwezi nisaidia chochote.
ladyneema said: Labda we ndo maskini, unabishana na mtu usomjua kwahyo bora upige jiiiiiiiiiiiiii Click to expand... Na sitaki kukujua kwani kwa akili na mawazo yako huwezi nisaidia chochote.
mashoodjr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2016 Posts 2,222 Reaction score 1,509 Nov 27, 2018 #262 Victoire said: Umaskini unawasumbua, mimi mwenyewe tajiri namiliki kampuni yangu kwa asilimia 100. Acheni mawazo ya kimaskini. Click to expand... Labda kampuni ya kuuza vitumbua
Victoire said: Umaskini unawasumbua, mimi mwenyewe tajiri namiliki kampuni yangu kwa asilimia 100. Acheni mawazo ya kimaskini. Click to expand... Labda kampuni ya kuuza vitumbua
palsa JF-Expert Member Joined Apr 24, 2011 Posts 1,339 Reaction score 1,701 Nov 27, 2018 #263 Victoire said: kwani si unamiliki asilimia100 in reality,sema kwenye makaratasi unaandika majina hata ya wanao wawili kama shares.Huoni hata kusaga badala ya kujiandika yeye kamwandika mwanae.Yes unaweza miliki asilimia mia. Click to expand... Kama sheria inaruhusu kwa nini kwenye makaratasi wanaweka watu wengine
Victoire said: kwani si unamiliki asilimia100 in reality,sema kwenye makaratasi unaandika majina hata ya wanao wawili kama shares.Huoni hata kusaga badala ya kujiandika yeye kamwandika mwanae.Yes unaweza miliki asilimia mia. Click to expand... Kama sheria inaruhusu kwa nini kwenye makaratasi wanaweka watu wengine