Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

kwa hiyo Sallam na Tale ni vimbelembele?!
 
45% ni nyingi sana, karibia nusu, respek kwa jamaa.
Ila kusaga ndo mwenye Sauti...! Kama aligombana na ndugu zakee bhasi ipo siku watagombana na diamond piaa pesaa mwanaharamuu... Diamond hayupo salama kabisaaaaa yani aache kujifanya mjanja.
 
Hio karatasi tu je kama kuna mikataba ya siri inayombana jamaa fulani kutoka kumiliki asilimia kubwa mpaka ndogo zinazosemwa. Mjini hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…