Ubishi wa kitaa

Ubishi wa kitaa

Joined
Oct 4, 2019
Posts
48
Reaction score
65
Hongereni Wana msimbazi na wapenzi wa kabumbu wote " nipo katika kibanda umiza hapa tunaomba wajuzi wa mambo mtupe usahii " Ikiwa Yanga Sc atabeba kombe la FA atatakiwa kucheza Shirikisho kama Bingwa mtetezi au atacheza moja kwa moja club Bingwa?
 
Yanga hawezi kuchukua kombe la FA
 
Back
Top Bottom