Ubize wa kutumia simu ulipelekea kufanya tukio gani la hatari?

Ubize wa kutumia simu ulipelekea kufanya tukio gani la hatari?

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Wasaalam

Ushakutana na ile moment uko kwa social nets, uko bize unaperuzi mpaka ikafikia time ukafanya katukia ka ajabu aidha ka hatari, ka kuchekesha au katukio ka namna yoyote ile

Ilikuwaje na lilikuwa tukio gani?

Mimi nakumbuka nlikuwa nagombana na mpenzi wa kwenye Text Nikajikuta nimesimama katikati ya lami bila hata kujua🤣🤣


Screenshot_20210406-011103.png
 
Ubize wa simu, hasa kuchat..
Kuna siku nilikuwa na chat na watu Kama wa 5 kwa wakati. Meseji zinaingi kwa mpigo ,shida ikaja Kwamba "Badala ya kumjibu swahiba yangu mbona Sina, nikajikuta nimejibu kwa msichana ambaye namtongoza Tena nikachapia kabisa Badala ya mbona Sina, ikawa mbo Sina"
 
Mwanga wa simu mbaya sana usiku bila kusahau ubusy wa mitandao nakumbuka ilikuwa mwaka 2012 nipo fb yaani nilikua very addicted nayo, nilikoswa na gari mara tatu ila gari ya tatu ndio nilipata ufaham kuwa nipo katikati ya barabara ila gari mbili za mwanzo nilikuwa najua nipo pembezoni kwahiyo niliishia kulaumu uondeshaji mbovu bila kujua kumbe mim ndio mwenye makosa.

2011 nilishajikuta nimeingia kwenye kidimbwi cha maji machafu barabarani yale maji yalikua yananuka sana.

Ule ulevi wa fb miaka hiyo siutaman tena maishani mwangu.
 
Kuingiza dushe kwenye tundu B badala ya kuingiza kwenye tundu A!😖😖😖
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwanga wa simu mbaya sana usiku bila kusahau ubusy wa mitandao nakumbuka ilikuwa mwaka 2012 nipo fb yaani nilikua very addicted nayo, nilikoswa na gari mara tatu ila gari ya tatu ndio nilipata ufaham kuwa nipo katikati ya barabara ila gari mbili za mwanzo nilikuwa najua nipo pembezoni kwahiyo niliishia kulaumu uondeshaji mbovu bila kujua kumbe mim ndio mwenye makosa.

2011 nilishajikuta nimeingia kwenye kidimbwi cha maji machafu barabarani yale maji yalikua yananuka sana.

Ule ulevi wa fb miaka hiyo siutaman tena maishani mwangu.
 
Ubize wa simu, hasa kuchat..
Kuna siku nilikuwa na chat na watu Kama wa 5 kwa wakati. Meseji zinaingi kwa mpigo ,shida ikaja Kwamba "Badala ya kumjibu swahiba yangu mbona Sina, nikajikuta nimejibu kwa msichana ambaye namtongoza Tena nikachapia kabisa Badala ya mbona Sina, ikawa mbo Sina"
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wasaalam

Ushakutana na ile moment uko kwa social nets, uko bize unaperuzi mpaka ikafikia time ukafanya katukia ka ajabu aidha ka hatari, ka kuchekesha au katukio ka namna yoyote ile

Ilikuwaje na lilikuwa tukio gani?

Mimi nakumbuka nlikuwa nagombana na mpenzi wa kwenye Text Nikajikuta nimesimama katikati ya Rami bila hata kujua[emoji1787][emoji1787]


View attachment 1744597
Utakuja kufa[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom