Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Wasaalam
Ushakutana na ile moment uko kwa social nets, uko bize unaperuzi mpaka ikafikia time ukafanya katukia ka ajabu aidha ka hatari, ka kuchekesha au katukio ka namna yoyote ile
Ilikuwaje na lilikuwa tukio gani?
Mimi nakumbuka nlikuwa nagombana na mpenzi wa kwenye Text Nikajikuta nimesimama katikati ya lami bila hata kujua🤣🤣
Ushakutana na ile moment uko kwa social nets, uko bize unaperuzi mpaka ikafikia time ukafanya katukia ka ajabu aidha ka hatari, ka kuchekesha au katukio ka namna yoyote ile
Ilikuwaje na lilikuwa tukio gani?
Mimi nakumbuka nlikuwa nagombana na mpenzi wa kwenye Text Nikajikuta nimesimama katikati ya lami bila hata kujua🤣🤣