Ubize wa kutumia simu ulipelekea kufanya tukio gani la hatari?

 
Nimeenda kukojoa nimetoa dushee nikamaliza nikalirudishie halafu sikufunga zipu niko bize na simu na wakati nakojoa nilikuwa hata siangaliii nakokojolea.

Huyo mpka nje ya nyumba huku suruali iko wazi kwenye zipu na li boxer limetokeza.

Alinistua mama jirani kuwa mlango uko wazi, na bila kunistua nilikuwa naelekea zangu mtaani kuwaonyesha show ya bure wananchi tunaoheshimiana nao[emoji23]
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…