Ubobevu wako katika mapenzi uko eneo lipi?

Hatari huyu jamaa anataka nikapime sasa sii ndio wakijua mie hiv watapata sababu ya kuanza kucheki kila kitu na magonjwa memgine wanibambikie bure.
Wacha hivi hi i mdo mdo mpka kaburini. Figo kuharibika tutajuaga wiki kabla ya kifo.
Anyways tuachane na hayo ya kifo.
Vipi mwananchi lile kundi mnatoboa lakini? Maana inabidi mkaze mbupuz kweli kweli sii mchezo.
 
Kuna demu nimemngangania japo ajawai nikatalia ila kiujumla anikubali kabsa nmetumia njia zoteeee,

Ila nimekua nikimrudia kila mara toka 2017 bila kuchoka, mimi ndio status viewer wake no moja yaani mpaka atakua ameona aibu..

Juzi kanitafta anataka aje Arusha anipe ili nisimtafte tena na aniblock maana anaolewa mwezi wa12.....

Hapa nmeanza mazoezi ya kukimbia maana nilizidisha kitimoto na mbege siku za karibuni mpaka nmekua mzembe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…