Sii naambiwa nissikamie lah sivyo namaliza nishatiNgoma ndio inaondowa nguvu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sii naambiwa nissikamie lah sivyo namaliza nishatiNgoma ndio inaondowa nguvu?
Bado mkuu 😔Vipi umeshapata mwanamke wa malengo yako?
Dooh!Sasa nicheki afya kivipi wakati tayari nina ngoma mzeya...mwisho waniambie figo hovyo
Kwenye kuzama chumvini na kucheza na kile kiAntenna!!Mwenye ulimwengu wa Mapenzi mpaka sasa Kipi umejifunza unaweza kusema sasa nina PHD.
Binafsi nimegraduate katika kuwa na mwanamke mmoja bila kuwa na mwingine.
Niambie wewe.
Hatari huyu jamaa anataka nikapime sasa sii ndio wakijua mie hiv watapata sababu ya kuanza kucheki kila kitu na magonjwa memgine wanibambikie bure.Dooh!
Hivi hiko ki antenna kipo located wapi maana ukweli mie na kugegeda kote bado sijawahi kuiona hiyo antennaKwenye kuzama chumvini na kucheza na kile kiAntenna!!
piga squat upate chura hutonyanyaswaKupigwa matukio, nimekua sugu siku hizi nimeacha kubembeleza watu.
Ushapitwa chief!! Wenzako tunacheza na kiAntenna huku tunaimba ule wimbo wa Lavalava (Maji maji)Hivi hiko ki antenna kipo located wapi maana ukweli mie na kugegeda kote bado sijawahi kuiona hiyo antenna

wenzako wanalamba hadi shing' mia broUshapitwa chief!! Wenzako tunacheza na kiAntenna huku tunaimba ule wimbo wa Lavalava (Maji maji)![]()
![]()
![]()
Shing mia Chungu kishenzi, unaweza kuhisi kama unachubuka ulimi!!wenzako wanalamba hadi shing' mia bro
usijitambe hii ni sanaa

Pole sana mamiiKupigwa matukio, nimekua sugu siku hizi nimeacha kubembeleza watu.
Mungu akusaidie upateBado mkuu 😔
hahahahahaaaaa acha uzembe wa kutongoza, we watongoze tu mpaka upate kutongoza kwa mwanaume ni sunanimefika ile hatua ya kuhitaji mwenza ilimradi awe anapumua tu!,sitaki mbwembwe nyengine.