Ubobevu wako katika mapenzi uko eneo lipi?

Her baby leo niko kwa shangazi usipige simu, hawapendi kuongea na simu usiku.
me: Its owkey baby, take care

Her : Natoka na rafk zangu ila simu haina charge,
me: Owkey, ukicharge call me
Ujue huyu kicheche
 
Achana nao hao wanakupasha moto ili ujione weak.

Piga kimoko cha utamu au viwili vya afya.
Mimi hata hicho kimoja sikioni nina mawazo kishenzi yaani halafu haijawahi kunitokea eti..
Hadi binti wa watu anawaza nikoje
Na hivi ni mnyarwanda my God..
Anabaki anajistukia tu na kuuliza babe unaenjoy?
Najitahidi kumuelewesha kuwa naenjoy lakini wapi haiondoi hofu aliyo nayo na hivi tuna wiki mbili tu tangu nimkwapue toka huko sokoni mwa mapisi..

Sawa najua nimekuwa mgumu sana kwenye suala la kukitupa lakini sio kwa kiasi cha kuhit siku kadhaa bhana..
Yaani unahit for even two hours but nothing..
 
Lakini unajisikiaje kuwa na mafanikio lkn huwezi kucheka kwa uhuru?
Tatizo mnasikiliza maneno ya mtaani.
Ulimshuhudia nani kwa macho yako mawili akitokewa na hiyo hali?
Achaneni na maneno ya kutembea kutoka kwa huyu kwenda yule.....
Basi ingekuwa hivo, mpaka leo hii katika watu 10,...7 wangedhalilika mchana kweupe.

Nakwambia tena, shuhudia mwenyewe kwa πŸ‘€ yako mawili mbele yako na si kwa kusikiliza maneno ya waja.
Kama huna D mbili, hutanielewa asilani...kwaheriπŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
 
Ukiachwa utaona umuhimu wa kuwa na wengi
 
Wewe mwanangu kama mimi, kipindi watu wanatafuta dawa ya kufanya usiwahi kufika kileleni me nashangaa sana, me sipati bao kabisa naweza gegeda for 2 hours mpk nakata tamaa, au hii ni madhara ya nyeto???? Yani sienjoy tendo, raha ya tendo bao bhn πŸ˜…
 
Muda mwingine ni kuwa over excited sana
Halafu pia unapendwa na mwanamke ambae wewe unamchukulia kawaida sana
Japo ni bonge la pisi na wanaume wengi unakuta wanapiga misamba ili wawe nae.
Lakini wewe unakuwa unampenda kikawaida sana..
So mtu huyu unakuwa huna msisimko mkubwa sana kwake.. hivyo hata ule uchizi wa ngono unakuwa hauna.
Na kiafya ya akili hii inakuwa ni salama sana kwako maana kwanza unaweza kudumu sana nae kwenye mahusiano au hata ndoa..
Yaani ni mtu ambae unaaford kumuacha..
Na kiwango cha wivu kinakuwa kidogo sana kwake..
Kiasi unaweza ukasikia kachiti kabisa na ukamfuma
But ukachagua kuangalia faida zake nyingine kifamilia like anakupa utulivu anakutii na kuwatendea vyema wanao
So ukajikuta unamuacha for mutual benefit
Na watu eg. Marafiki wakabaki wanakushangaa like unawezaje kuendelea kuishi na mtu ambae alitakiwa awe amefungasha mizigo na kwenda..
So kwakuwa huna ule upendo wa kuzikana haujali sana badala ya kuangalia faida zake za msingi..
Note this mwanamke anaeweza kukudrive crazy ama kukusisimua sana kitandani ana asilimia kubwa sana za kukufanya uishi kwa mateso katika hii dunia iwe kiakili ama kihisia.
Na huyu ana asilimia nyingi za kukuingiza kwenye matatizo ya kuua ama kujiua ikiwa utajua na kushuhudia kuwa anakusaliti na mwanaume mwingine..
Ogopa sana mwanamke anaekusisimua to the end point kitandani..
Hao unatakiwa uwe nao huko nje ambae unajua tu kuwa she is for the streets..

Thanks by Devil one promax..
Ushetani uendelee
Devil one Lucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…