Wewe mwanangu kama mimi, kipindi watu wanatafuta dawa ya kufanya usiwahi kufika kileleni me nashangaa sana, me sipati bao kabisa naweza gegeda for 2 hours mpk nakata tamaa, au hii ni madhara ya nyeto???? Yani sienjoy tendo, raha ya tendo bao bhn π
Muda mwingine ni kuwa over excited sana
Halafu pia unapendwa na mwanamke ambae wewe unamchukulia kawaida sana
Japo ni bonge la pisi na wanaume wengi unakuta wanapiga misamba ili wawe nae.
Lakini wewe unakuwa unampenda kikawaida sana..
So mtu huyu unakuwa huna msisimko mkubwa sana kwake.. hivyo hata ule uchizi wa ngono unakuwa hauna.
Na kiafya ya akili hii inakuwa ni salama sana kwako maana kwanza unaweza kudumu sana nae kwenye mahusiano au hata ndoa..
Yaani ni mtu ambae unaaford kumuacha..
Na kiwango cha wivu kinakuwa kidogo sana kwake..
Kiasi unaweza ukasikia kachiti kabisa na ukamfuma
But ukachagua kuangalia faida zake nyingine kifamilia like anakupa utulivu anakutii na kuwatendea vyema wanao
So ukajikuta unamuacha for mutual benefit
Na watu eg. Marafiki wakabaki wanakushangaa like unawezaje kuendelea kuishi na mtu ambae alitakiwa awe amefungasha mizigo na kwenda..
So kwakuwa huna ule upendo wa kuzikana haujali sana badala ya kuangalia faida zake za msingi..
Note this mwanamke anaeweza kukudrive crazy ama kukusisimua sana kitandani ana asilimia kubwa sana za kukufanya uishi kwa mateso katika hii dunia iwe kiakili ama kihisia.
Na huyu ana asilimia nyingi za kukuingiza kwenye matatizo ya kuua ama kujiua ikiwa utajua na kushuhudia kuwa anakusaliti na mwanaume mwingine..
Ogopa sana mwanamke anaekusisimua to the end point kitandani..
Hao unatakiwa uwe nao huko nje ambae unajua tu kuwa she is for the streets..
Thanks by Devil one promax..
Ushetani uendelee
Devil one
Lucha