Ubongo, Akili au Hisia?

Ubongo, Akili au Hisia?

pistologist

Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
16
Reaction score
20
Greetings!

"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?

Kuna wakati mwili huongoza na
hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?

Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
 
Greetings!

"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?

Kuna wakati mwili huongoza na
hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?

Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
Huu uzi umeandika kwa utashi wako? Ni hisia zipi zimekufanya ukaandika haya? Yahitaji kutuliza akili sana kuelewa! Ila inahitaji moyo sana kusoma uzi wako!
 
Greetings!

"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?

Kuna wakati mwili huongoza na
hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?

Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
Kabla ya yote kuna maswali kadhaa nataka nikuulize.

Ushawahi kufanya jambo bila kutafakari ? Yaani ukajikuta umefanya tu ?

Si una amini ya kuwa kuna kauli nyingine huwa si za kweli ?

Hii ziada,huwezi kuongelea akili bila ubongo bila moyo.

Narudi.........
 
Greetings!

"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?

Kuna wakati mwili huongoza na
hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?

Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
Ukimalizia kuandika nitag
 
Haya maswali magumu sana ujue,ukijiuliza sana unaweza kuona wewe halisi siyo wewe unayejijua
 
Nijuavyo,akili ni ule uwezo wa ubongo namna unavyofanya kazi na akili ndio hupatikana kwenye ubongo,namna unavyoweza kufikiri,kupambanua mambo,kumbukumbu,kunakili namna ubongo wako unavyoweza kuvifanya hivyo vitu ndio akili.. ubongo unaonekana lkn kuonekana kwa akili ni wazo husika au kitu husika kuwakilishwa ktk ulimwengu wetu wa kifizikia,hapa nazungumzia vitu kama uandishi,uchoraji kiujumla ni utendaji ndio muonekano wa akili mfano uonapo gari hilo lilikuwa wazo(ktk akili) hivyo unapoliona hapo limewasilishwa.

narudi..
 
Hizo rangi nyingi zimepoteza u makini wa bandiko lako. Nakushauri tu siku nyingine kma una jambo la maana unataka kuandika apuka kuweka urembo mwingi dada yangu. Najua wadada huwa hata mkiandika barua kama miaka ile mnachora mpaka maua.mimi hilo la matumizi ya rangi limenifanya nishindwe soma.

Greetings!

"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?

Kuna wakati mwili huongoza na
hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?

Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
 
NDIO




NDIO




MOYO unahusiana vipi na akil/ubongo katika hili?
Makao makuu ya Akili ni MOYO.

MOYO ndio mahala ambapo matendo ya mwanadamu huratibiwa,kadhalika kwenye MOYO ndipo ya mambo ya kiufahamu huwekwa kimafungu mafungu yaani jambo moja likatofautiana na lingine.

UBONGO ni mapitio ya Akili,yaani Akili inapotambua jambo kupitia milango ya fahamu hutambuliwa kupitia ubongo.

AKILI ni uwezo wa kuyanasa au kuyapokea mambo au kuyatambua mambo.

Narudi kuendelea hapa nilipoishia........
 
Nijuavyo,akili ni ule uwezo wa ubongo namna unavyofanya kazi na akili ndio hupatikana kwenye ubongo,namna unavyoweza kufikiri,kupambanua mambo,kumbukumbu,kunakili namna ubongo wako unavyoweza kuvifanya hivyo vitu ndio akili.. ubongo unaonekana lkn kuonekana kwa akili ni wazo husika au kitu husika kuwakilishwa ktk ulimwengu wetu wa kifizikia,hapa nazungumzia vitu kama uandishi,uchoraji kiujumla ni utendaji ndio muonekano wa akili mfano uonapo gari hilo lilikuwa wazo(ktk akili) hivyo unapoliona hapo limewasilishwa.

narudi..

Diagnostic
 
Back
Top Bottom