pistologist
Member
- Sep 28, 2018
- 16
- 20
- Thread starter
- #21
Umepangilia hoja zako vizuri, chapisho lako linafikirika.nini mantiki yako..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepangilia hoja zako vizuri, chapisho lako linafikirika.nini mantiki yako..?
Nilidhani unajua kuandika.
Sasa hili nalo unataka mpka upelekwe shule kueleweshwa kuwa kuna kuandika kwa kifup?huelew kuwa kma ni kama?sister kweli umevurugukiwa.hii si formal writing and thats why kuna lots of short forms. Nmekushauri tu kuwa unapoandika kitu andika kwa akili huo urembo unaoweka kama unaandikia bwana zako barua unapoteza umakin wa wazo husika.unapata wap muda wa kupamba na rang?
There are authoritative standardized abbreviations.
Hivyo vifupisho vyako huwa naviona kwa wadada wanapowajibu wanaume wako texts messages.
Haya dada endelea kutupambia thread kwa rangi mbalimbali... Kama vile siye ni waume zako.endelea tu na rangi zako.mpaka unaumiza macho.
Ndio maana hapo juu nilikuuliza ya kuwa si unajua kwamba kuna kauli nyingine si za kweli na wewe ukakubali NDIO. Swali langu lilikuwa limelenga huku.Mkuu, ni wazi kabisa unge-suggest wote wanaosema " tumia akili " , wawe wana-point kifuani badala ya kichwani.
Ndio maana hapo juu nilikuuliza ya kuwa si unajua kwamba kuna kauli nyingine si za kweli na wewe ukakubali NDIO. Swali langu lilikuwa limelenga huku.
Bila shaka,naona umeelewa.Kwahiyo mkuu, kwa kuwa makao makuu ya akili yako yapo MOYONI, ni wazi kabisa unafikiria kwa kutumia MOYO
Greetings!
"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?
Kuna wakati mwili huongoza na hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?
Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
Mwandiko wa kike huu, kama uliandikiwa ndomana havisomeki.
kidato cha nne hawajaanza kuwa busy na mitihani. huu uandishi ni wa kidato cha nne kabisa tena wa demu. kwa nini usikae tu chini ukajisomea upate akili na uelewa kwanza? halafu watu wenye akili wanakuelimisha unaleta kiburi. nyie wasichana wa siku hizi ndo maana hamuolewi maana wagumu sana kuelewa. utakuwa unasoma jangwani sikosei.
Mbona kuna Wale wenye vichwa vikubwa lakini hawana AkiliMmmm!!Mi Kwa najiuliza kwanini watu kwenye vichwa vidogo sana(ukitaka kunielewa tembelea vitu vya watoto wenye mtindio wa ubongo),wengi wao ni vichaa.Je udogo wa kichwa + udogo wa saizi ya ubongo hupelekea upunguani wa akilii?
Mmmm!!Mi Kwa najiuliza kwanini watu kwenye vichwa vidogo sana(ukitaka kunielewa tembelea vitu vya watoto wenye mtindio wa ubongo),wengi wao ni vichaa.Je udogo wa kichwa + udogo wa saizi ya ubongo hupelekea upunguani wa akilii?
kidato cha nne hawajaanza kuwa busy na mitihani. huu uandishi ni wa kidato cha nne kabisa tena wa demu. kwa nini usikae tu chini ukajisomea upate akili na uelewa kwanza? halafu watu wenye akili wanakuelimisha unaleta kiburi. nyie wasichana wa siku hizi ndo maana hamuolewi maana wagumu sana kuelewa. utakuwa unasoma jangwani sikosei.