Ubongo, Akili au Hisia?

Ubongo, Akili au Hisia?

Sasa hili nalo unataka mpka upelekwe shule kueleweshwa kuwa kuna kuandika kwa kifup?huelew kuwa kma ni kama?sister kweli umevurugukiwa.hii si formal writing and thats why kuna lots of short forms. Nmekushauri tu kuwa unapoandika kitu andika kwa akili huo urembo unaoweka kama unaandikia bwana zako barua unapoteza umakin wa wazo husika.unapata wap muda wa kupamba na rang?

Nilidhani unajua kuandika.
 
Sasa hili nalo unataka mpka upelekwe shule kueleweshwa kuwa kuna kuandika kwa kifup?huelew kuwa kma ni kama?sister kweli umevurugukiwa.hii si formal writing and thats why kuna lots of short forms. Nmekushauri tu kuwa unapoandika kitu andika kwa akili huo urembo unaoweka kama unaandikia bwana zako barua unapoteza umakin wa wazo husika.unapata wap muda wa kupamba na rang?

There are authoritative standardized abbreviations.
Hivyo vifupisho vyako huwa naviona kwa wadada wanapowajibu wanaume wako texts messages.
 
Haya dada endelea kutupambia thread kwa rangi mbalimbali... Kama vile siye ni waume zako.endelea tu na rangi zako.mpaka unaumiza macho.

There are authoritative standardized abbreviations.
Hivyo vifupisho vyako huwa naviona kwa wadada wanapowajibu wanaume wako texts messages.
 
Haya dada endelea kutupambia thread kwa rangi mbalimbali... Kama vile siye ni waume zako.endelea tu na rangi zako.mpaka unaumiza macho.

Somo la vifupisho naona limeshaeleweka tayari. Bado kufundishwa vitu vidogo vidogo kama matumizi ya herufi kubwa baada ya nukta. Utajua tu kuandika!
 
Mkuu, ni wazi kabisa unge-suggest wote wanaosema " tumia akili " , wawe wana-point kifuani badala ya kichwani.
Ndio maana hapo juu nilikuuliza ya kuwa si unajua kwamba kuna kauli nyingine si za kweli na wewe ukakubali NDIO. Swali langu lilikuwa limelenga huku.
 
Ndio maana hapo juu nilikuuliza ya kuwa si unajua kwamba kuna kauli nyingine si za kweli na wewe ukakubali NDIO. Swali langu lilikuwa limelenga huku.

Kwahiyo mkuu, kwa kuwa makao makuu ya akili yako yapo MOYONI, ni wazi kabisa unafikiria kwa kutumia MOYO
 
Kwahiyo mkuu, kwa kuwa makao makuu ya akili yako yapo MOYONI, ni wazi kabisa unafikiria kwa kutumia MOYO
Bila shaka,naona umeelewa.

Hapa nitakupa mifano kadhaa au mfano,kazi ya sikio ni kusikia na kusikiliza. Ila kusikiliza ni zaidi ya kusikia,sababu utambuzi wa sauti na kilichomo ni kazi inayofanywa na moyo.

Moyo upo kwa ajili ya tafakari,utambuzi na maamuzi. Sababu akili iko moyoni na kazi hufanyika.
 
dada unaremba sana maandishi yako hata hatuwezi kusoma utadhani unamwandikia boyfriend wako. wewe kama si mfanyakazi wa salon basi utakuwa ni wa club yale mataa yamekuathiri mpaka kila unapoandika unafikiria hayo tu. sisi wengine macho yetu si mazuri sana unaandika unaweka nakshi za rangi kama dada wa urembo? kazi yako inakuathiri hadi huku kwetu.

Greetings!

"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?

Kuna wakati mwili huongoza na hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?

Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
 
Mmmm!!Mi Kwa najiuliza kwanini watu kwenye vichwa vidogo sana(ukitaka kunielewa tembelea vitu vya watoto wenye mtindio wa ubongo),wengi wao ni vichaa.Je udogo wa kichwa + udogo wa saizi ya ubongo hupelekea upunguani wa akilii?
 
atakuwa ni demu tu huyu maana huu uandishi kila mtu anashangaa.. haiajwahi tokea humu JF mtu akaandika hivi. halafu ni kama aliandikiwa sehemu halafu yeye akaja tu kuja kupaka rangi....😀😀😀
Mwandiko wa kike huu, kama uliandikiwa ndomana havisomeki.
 
kidato cha nne hawajaanza kuwa busy na mitihani. huu uandishi ni wa kidato cha nne kabisa tena wa demu. kwa nini usikae tu chini ukajisomea upate akili na uelewa kwanza? halafu watu wenye akili wanakuelimisha unaleta kiburi. nyie wasichana wa siku hizi ndo maana hamuolewi maana wagumu sana kuelewa. utakuwa unasoma jangwani sikosei.
 
ooohh.. kumbe unamfahamu huyu binti? nimeangalia hii ndo thread yake ya kwanza humu JF ni mgeni. so usimlaumu bado hajakua, na ndo wakati wake atakuwa amevunja ungo so.. usidhani anaweza akawa anaelewa watu wanamwelimisha nini.
bado mchanga sana.. ni member wakati wengine ni expert humu ndani. sijui hata kama anaelewa tofaut yake. ila mumvumilie akipata mwanaume wa kumtuliza ataelewa tu na kujenga utulivu.

kidato cha nne hawajaanza kuwa busy na mitihani. huu uandishi ni wa kidato cha nne kabisa tena wa demu. kwa nini usikae tu chini ukajisomea upate akili na uelewa kwanza? halafu watu wenye akili wanakuelimisha unaleta kiburi. nyie wasichana wa siku hizi ndo maana hamuolewi maana wagumu sana kuelewa. utakuwa unasoma jangwani sikosei.
 
Mmmm!!Mi Kwa najiuliza kwanini watu kwenye vichwa vidogo sana(ukitaka kunielewa tembelea vitu vya watoto wenye mtindio wa ubongo),wengi wao ni vichaa.Je udogo wa kichwa + udogo wa saizi ya ubongo hupelekea upunguani wa akilii?
Mbona kuna Wale wenye vichwa vikubwa lakini hawana Akili
 
Mmmm!!Mi Kwa najiuliza kwanini watu kwenye vichwa vidogo sana(ukitaka kunielewa tembelea vitu vya watoto wenye mtindio wa ubongo),wengi wao ni vichaa.Je udogo wa kichwa + udogo wa saizi ya ubongo hupelekea upunguani wa akilii?

Kuna wenye vichwa vikubwa kuliko kawaida, pia huwa wana hilo tatizo..

Lakini vichwa wa saizi ya kawaida.. Sio wote wazima kichwani..
 
Jamani wakuu mi naona ni vyema tukajadili mada kuliko kujadili maandishi. Mada ni nzuri lakini imekosa wachangiaji.
Ebu tujadilini mada kwa wenye uelewa.
Mada ni nzuri
Trust me
 
kidato cha nne hawajaanza kuwa busy na mitihani. huu uandishi ni wa kidato cha nne kabisa tena wa demu. kwa nini usikae tu chini ukajisomea upate akili na uelewa kwanza? halafu watu wenye akili wanakuelimisha unaleta kiburi. nyie wasichana wa siku hizi ndo maana hamuolewi maana wagumu sana kuelewa. utakuwa unasoma jangwani sikosei.


Macho ya mwanamke huwa yapo sensitive sana kwenye rangi ya kitu kuliko content.

Anyway, Jina lako linasema kila kitu pia, nishakusemehe.
 
Back
Top Bottom