pistologist
Member
- Sep 28, 2018
- 16
- 20
- Thread starter
-
- #41
Jamani wakuu mi naona ni vyema tukajadili mada kuliko kujadili maandishi. Mada ni nzuri lakini imekosa wachangiaji.
Ebu tujadilini mada kwa wenye uelewa.
Mada ni nzuri
Trust me
Hao watakuwa ni watu wasiofaamikaMbona kuna Wale wenye vichwa vikubwa lakini hawana Akili
Macho ya mwanamke huwa yapo sensitive sana kwenye rangi ya kitu kuliko content.
Anyway, Jina lako linasema kila kitu pia, nishakusemehe.
yo ni maneno ambayo mtu huambiwa ili afanye jambokwa usahihi, ila kiuhalisia kuna propbability ndogo sana kuwa km wahusika wanavyodaiGreetings!
"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?
Kuna wakati mwili huongoza na hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?
Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
akili ni ability ya ubongo kufanya kazi ya kufikiria na hisia ni maamuzi au mtazamo juu ya jambo flani kwa kulitazama na kuchukulia maamuzi kwa hulka na ushabiki bila kufikiri. Ni mtazamo wanguGreetings!
"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?
Kuna wakati mwili huongoza na hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?
Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
Katika maelezo ya ubongo umeelezea vizuri saana big upMakao makuu ya Akili ni MOYO.
MOYO ndio mahala ambapo matendo ya mwanadamu huratibiwa,kadhalika kwenye MOYO ndipo ya mambo ya kiufahamu huwekwa kimafungu mafungu yaani jambo moja likatofautiana na lingine.
UBONGO ni mapitio ya Akili,yaani Akili inapotambua jambo kupitia milango ya fahamu hutambuliwa kupitia ubongo.
AKILI ni uwezo wa kuyanasa au kuyapokea mambo au kuyatambua mambo.
Narudi kuendelea hapa nilipoishia........
Nifikiriavyo : akili ni hekima, hekima =uwezo wa kupambanua mambo kuelekea usahihi. Chanzo cha akili ni ubongo.Greetings!
"..hauna akili..! " well, japokuwa ni tusi, lakini ana maana gani huyu mtu? sidhani kama ana maana hauna ubongo. Lakini akili ni nini haswa? ubongo ni kitu cha kuonekana na kushikika.. na akili pia hivyo hivyo? " ..Hebu tumia akilii unapoongea mbele ya watu.." watu husema hayo maneno kidole kikiwa kina-point kichwa, akili ipo kichwani? ( au ndio kama kusali mtu akiwa anatazama juu, akiwa anaamini ndio maombi yake yanapoenda? ) . Hivi ni kipi kipo ndani ya kingine, akili sehemu ya ubongo au ubongo sehemu ya akili?
Kuna wakati mwili huongoza na hisia katika kufanya maamuzi, ambapo wengine hufika mbali na kuhusisha kitu kingine hapa, moyo.. mmh! hapa ndio huwa wananichanganya kabisa, utasikia, "..sikiliza moyo wako unakwambia nini, halafu ufuate.." . Hebu tuachane na habari za moyo kwanza... hivi hisia zipo sehemu gani ya mwili? hisia na akili vina uhusiano wowote? maana wengine husema "..hili suala inabidi utumie akili, sio hisia, utasababisha madhara makubwa..." Upendo, hasira au huruma vinafanyika sehemu gani ya mwili ?
Kuna vijitabia ambavyo kila mtu anavyo vya kwake, na hivi vijitabia humtofautisha mtu mmoja na mwingine, ni ngumu sana watu kufanana katika hili, wenzetu wanaita personality! ni kitu gani hiki, kina uhusiano wowote na akili ya mtu husika?
Watoto wa MMU na Chi Chat, hizi mada wanaishiaga kuona rangi rangi tu. Hii mada ni ngumu kwao. Achana nao mkuu.. Naomba maoni yako.
Siamini katika swala moyo kabisa that's why nilipenda kuutenga kwenye uzi.Kuna watu wanasema akili makao yake makuu ni moyoni,naomba kuuliza vipi wale wanaopoteza uwezo wa kufikili Mara tu baada ya kupata madhara kichwani either Kwa ajali au jambo lingine?
Mimi kuna MTU aligongwa na gari,Likamuumiza vibaya kichwani,tangia hapo network ilikata yaani alikuwa hawezi kukumbuka kitu wala kufanya maamuzi yenye uitaji wa akili.