Ubongo Baada ya Kifo: Je, Bado Unawaza?

Ubongo Baada ya Kifo: Je, Bado Unawaza?

Hivi mshawahi kulala usingizi mzito then ubongo ukawa active (kuamka) lakini mwili unagoma kufanya lolote?... unataman ujigeuze ila mwili unagoma, nachoshukuru Mungu ni kwamba jambo la kwanza kukumbuka na kulifanya ni kutoa Shahada na kusoma baadhi ya sura za Quran.. hali hii hudumu si chini ya dk 5..

Na hiv karibun imekuw ikinitokea mara kw mara.. sasa sijajua kuna wadau wananipima ama vipi.. kmk
 
Hivi mshawahi kulala usingizi mzito then ubongo ukawa active (kuamka) lakini mwili unagoma kufanya lolote?... unataman ujigeuze ila mwili unagoma, nachoshukuru Mungu ni kwamba jambo la kwanza kukumbuka na kulifanya ni kutoa Shahada na kusoma baadhi ya sura za Quran.. hali hii hudumu si chini ya dk 5..

Na hiv karibun imekuw ikinitokea mara kw mara.. sasa sijajua kuna wadau wananipima ama vipi.. kmk
Hiki kitu kipo kilishawahi kutokea na kitu kingine ambacho mpaka Sasa nakiogopa ni issue ya NDEs
 
Hivi mshawahi kulala usingizi mzito then ubongo ukawa active (kuamka) lakini mwili unagoma kufanya lolote?... unataman ujigeuze ila mwili unagoma, nachoshukuru Mungu ni kwamba jambo la kwanza kukumbuka na kulifanya ni kutoa Shahada na kusoma baadhi ya sura za Quran.. hali hii hudumu si chini ya dk 5..

Na hiv karibun imekuw ikinitokea mara kw mara.. sasa sijajua kuna wadau wananipima ama vipi.. kmk
Sir hiyo inaitwa sleep paralysis husababishwa na ubongo wako unakua umeamka lakini mwili wako unakua bado umelala. Ingekua zamani ningekuelezea Kwa undani jinsi Rapide Eye movement inavyosababisha hili tatizo. #uzee
Hiki kitu kipo kilishawahi kutokea na kitu kingine ambacho mpaka Sasa nakiogopa ni issue ya NDEs
 
Sir hiyo inaitwa sleep paralysis husababishwa na ubongo wako unakua umeamka lakini mwili wako unakua bado umelala. Ingekua zamani ningekuelezea Kwa undani jinsi Rapide Eye movement inavyosababisha hili tatizo. #uzee
Sawa sometimes ni REM but, kuna scenario unaona kuna dalili za mtu au activities flan...

Je ishu ya Jinamizi? Hii ilitolew ufafanuz kwamba ukilala umeangalia juu kuna hati hati ya kukabwa na Jinamizi.. ingaw kuna sababu za kisayansi why unahis unapigwa Roba/Loki/Mnigo..
 
Sawa sometimes ni REM but, kuna scenario unaona kuna dalili za mtu au activities flan...

Je ishu ya Jinamizi? Hii ilitolew ufafanuz kwamba ukilala umeangalia juu kuna hati hati ya kukabwa na Jinamizi.. ingaw kuna sababu za kisayansi why unahis unapigwa Roba/Loki/Mnigo..
Huwa sio Roba ukilala juu but kisayansi unaikandamiza hypothalamus. Kichogoni huku NI sehem vulnerable ndio maana ukipagonga ni rahisi kusababisha Concussion. So unapolalia upande WA nyuma wa kichwa lazima uote vitu vibaya. Na kiimani wanasema ukilala umeelekea juu unakua umelipa mwanya jicho laki la tatu linalokaa kwenye paji la kutake over wakati macho mawili yanakua kwenye REM state.
Ndio maana mafarao wote ilikua NI lazima walale paji la USO liko juu
 
Huwa sio Roba ukilala juu but kisayansi unaikandamiza hypothalamus. Kichogoni huku NI sehem vulnerable ndio maana ukipagonga ni rahisi kusababisha Concussion. So unapolalia upande WA nyuma wa kichwa lazima uote vitu vibaya. Na kiimani wanasema ukilala umeelekea juu unakua umelipa mwanya jicho laki la tatu linalokaa kwenye paji la kutake over wakati macho mawili yanakua kwenye REM state.
Ndio maana mafarao wote ilikua NI lazima walale paji la USO liko juu
Ahsante kwa ilmu..
 
Hivi mshawahi kulala usingizi mzito then ubongo ukawa active (kuamka) lakini mwili unagoma kufanya lolote?... unataman ujigeuze ila mwili unagoma, nachoshukuru Mungu ni kwamba jambo la kwanza kukumbuka na kulifanya ni kutoa Shahada na kusoma baadhi ya sura za Quran.. hali hii hudumu si chini ya dk 5..

Na hiv karibun imekuw ikinitokea mara kw mara.. sasa sijajua kuna wadau wananipima ama vipi.. kmk
Jinamizi, ni ndoto za kawaida tu. Kama ni mara ya kwanza kuota, itakupata sana na utaizoea tu
 
Mwaka 2009 nimeshuhudia kifo cha aina yake. Kuna ndugu yangu alikufa mwili na mapigo ya moyo yalisimama kwa zaidi ya masaa mawili. Daktari alithibitisha mtu yule alikuwa tayari ameshakufa lakini cha ajabu huyo mtu alikuwa bado anakoroma.

Kwakuwa mdomo wake alikuwa hajaufunga, baadhi ya wazee walijaribu kumnywesha dawa wanazojua wao ili akome kukoroma lakini haikusaidia. Wengine walishauri paa la nyumba liezuliwe ili mtu yule apigwe na mionzi ya jua kupitia sehemu lilipoezuliwa paa ndiyo maiti yule angekoma kukoroma.
 
Back
Top Bottom