Ubongo interchange to cost sh 9 b

Ubongo interchange to cost sh 9 b

Hii ubungo interchange ni mkopo kutoka world bank ..from what i know ..hela ya world bank wanakuwaga nayo wenyewe na wanalipa wenyewe contractors au huipa serikali kidogo kidogo kutokana na matumizi ..sidhani kama world bank walivyopelekewa proposal na cost kwamba ni 177billion tsh ..wao walikubali tu bila kufanya research zao ..world bank wako strict sana na pesa zao na maswala ya rushwa ..so i thnk 177bntsh is worth it
 
An interchange in tz costs sh9b;
Outering elevated with 4 interchanges,8 lanes and 7 footbridges and streetlights and is 16 km will cost us 8.1 billion Kenyan shillings.
Thika road which is 60km costs 35 billion shillings...4 times ubongo

Ata kama Sgr tuligongwa hii nayo imezidi an interchange can't be that expensive.
Then whats the point of building an interchange before building a superhighway....
Kenya builts superhighways with interchanges in them like southern bypass,eastern bypass,thika road ,outering etc..but you guys build interchanges and even have names.
This is a simple interchange it could barely cost 100-500 million
9b6004b4b94313dd3a2dacc70f7e8060.jpg
ee0550b6a5f4c1084193df99faf22e71.jpg
8d46fa1c673cea664bd3db899414afaa.jpg
281eb4212e0b9bc24311c3dabe4c2d94.jpg
d23705c91af6fbfb41b91132d73cb826.jpg
f4c509230d18fb561abe8ebdfd78dc83.jpg
505d0194af20923bdb774f4c83a09233.jpg
d97c3f329f97f40b9d903bf82a1f8247.jpg
Hamna kitu hapo
Hizo zenu ni barabara za kawaida tuu interchange ya ghorofa NNE ktk Africa IPO kwa nchi mbali au tatu tuu na itatoa lane nane ambazo zitakwenda 16km na kuebdelea mpk chalinze 200km super highway with flyover za kumwaga SI kama huo ushuzi wa Dr shika road
 
Do you even know how Ubungo Interchange will be looking like? Do you think we demolished a $15M building for nothing just to construct a mere exit? Karibu uje ushangae Ubungo, ila huku mnakuja kwa Passport, IDs mwisho Kakamega[emoji12]
Wape baba
Bongo tunajikubali hakuna kuingia kwenye nchi yetu kizembe zembe
 
Do you even know how Ubungo Interchange will be looking like? Do you think we demolished a $15M building for nothing just to construct a mere exit? Karibu uje ushangae Ubungo, ila huku mnakuja kwa Passport, IDs mwisho Kakamega[emoji12]
Nakumbuka ulipoanzishwa mradi wa mwendokasi waliponda hivi hivi lkn sasa hivi wanapanga foleni kuja kujifunza nchi kibao za Africa ikiwemo Kenya
Khy wacha wapige kelele na kuponda lkn naamini siku wakija bongo wataishia kibaha kutafuta madereva wa kuwaingizia magari yao city center
 
Back
Top Bottom