Ubongo wa mwanadamu na majira ya mwezi: Dhana ya mwezi mchanga ni kweli ipo ? Je, kuna mahusiano gani kati ya majira ya mwezi na uchizi/utahira ?

Ubongo wa mwanadamu na majira ya mwezi: Dhana ya mwezi mchanga ni kweli ipo ? Je, kuna mahusiano gani kati ya majira ya mwezi na uchizi/utahira ?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Huwa najaribu kutengeneza heading fikirishi ili tujaribu kudadisi ukweli.

Nilisikia watu wanaongea kwamba kuna uhusiano kati ya majira mbali mbali ya mwezi na akili/ubongo wa binadamu.

Wengine wanasema kuna supernatural power ambayo ukikaa sehemu tulivu kama mlimani au sehemu yoyote tulivu huwa inatoa vibrations kuanzia mida ya saa nane au tisa usiku.

Je, Kuna mahusiano gani kati ya majira mbali mbali ya mwezi na kichwa/akili/ubongo wa Mwanadamu.

Nawasilisha.
 
Leo mijitu imekaa kimya
Lakini Mtu akijisikia tu kumuita mwenzake mwezi mchanga Anaita..
Hana fact, hana ajualo bora tuu kasikia na yeye anatamka..
Mijitu bado inaishi kwa Mapokezi, Shule haijamsaidi..
Hili jukwaa limejaa vijitu vishirikina, hasa vidada.


BTW: kuna ka uzi flani humu kuna jamaa alijarb kuelezea mda sana..
 
Leo mijitu imekaa kimya
Lakini Mtu akijisikia tu kumuita mwenzake mwezi mchanga Anaita..
Hana fact, hana ajualo bora tuu kasikia na yeye anatamka..
Mijitu bado inaishi kwa Mapokezi, Shule haijamsaidi..
Hili jukwaa limejaa vijitu vishirikina, hasa vidada.


BTW: kuna ka uzi flani humu kuna jamaa alijarb kuelezea mda sana..
Sawa bro jaribu kuutafuta huo uzi ukiupata naomba nitagi
 
Back
Top Bottom