Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ubongo wakike.mmh mi naweza fanya yote hayo lakn mi mwanaume[emoji20]
Sasa kuwashawishi kwa maneno tu hata kama ulikuwa unaenda saloon ukaghairi na kwenda hotel kuvua nguo, hapo ujanja wenu unakuwa umefikia mwisho?Niongeze.Mwanamke Ana ubongo mdogo kulinganisha na wa mwanaume.Lakini mwanamke anatumia ubongo wake zaidi kuliko mwanaume.
[HASHTAG]#proud[/HASHTAG] woman[emoji18]
Mhh..Ngoja nkukumbushe the greatest falls in history of men zilisababishwa na wanawake na hii inathibitisha wanawake ndio tunaushawishi zaidi.Sasa kuwashawishi kwa maneno tu hata kama ulikuwa unaenda saloon ukaghairi na kwenda hotel kuvua nguo, hapo ujanja wenu unakuwa umefikia mwisho?
Ubishi mwengine hata hauna maanaHao ulio wazungumzia ni wanawake wa Jupiter sio hawa wa hapa dunia
je, mwanaume anaefanya hivi pia tuseme ana ubongo wa mwanamke?
Tehe tehe tehe duuh nimecheka sanaSio kama ubongo wao uko active sana, bali wanawake wanamachale sana! Ndio maana ukijifanya unamkaribisha ndani anakuangalia mbele, akiona pametuna utasikia "ntaingia siku nyingine"...!!!
Bas ujue unachembechembe za Kmmh mi naweza fanya yote hayo lakn mi mwanaume[emoji20]
ha hahahhahahaha ha ha! lakwangu nalifungaga mapira matatu tena nakaza hlf akiingia tu nafunga mlango nafungua mapira dudu linasoma nyuzi 100%! hapo lzm nachi ichezeke
Niongeze.Mwanamke Ana ubongo mdogo kulinganisha na wa mwanaume.Lakini mwanamke anatumia ubongo wake zaidi kuliko mwanaume.
[HASHTAG]#proud[/HASHTAG] woman[emoji18]
Sasa kuwashawishi kwa maneno tu hata kama ulikuwa unaenda saloon ukaghairi na kwenda hotel kuvua nguo, hapo ujanja wenu unakuwa umefikia mwisho?
Mhh..Ngoja nkukumbushe the greatest falls in history of men zilisababishwa na wanawake na hii inathibitisha wanawake ndio tunaushawishi zaidi.
mifano;
Eve alivyomponza Adam,
Delilah alivyompomza Samson,
Cleopatra alivyompomza Julius Caesar na Marc Anthony, Lewinsky alivyomponza Bill Clinton,na wengine wengi.
Wanasema women run this world.
Na waliimba this is a man's world but it would be nothing without a woman.
Umecrush evidence yangu moja nimebaki na tatu.hiyo Ina Maana bado mimi ndio nileyetetea point yangu vizuri kuliko wewe.Eva hakuwa na akili zilizomtosha kumdanganya au kumshawishi Adamu mkuu.
Adamu alikula kwa mapenzi yake kwa Eva na si vinginevyo.
Hata Adamu alipoulizwa kuwa kwa nini amekula tunda alichojibu ni tofauti na Eva alichomjibu Mungu.
Eva alijibu kuwa Nyoka ndiye aliyedanganywa.
Kudanganywa inamaanisha kuzidiwa akili/werevu au ujanja. Ndio maana Biblia inasema nyoka alikuwa mwerevu kupita wanyama wote wa mwituni.
Itoshe sasa