Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi

Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi

naweza kuamini sababu nilisikia tetesi kuwa mwanamke ana uwezo wa kumeza iwe picha au maandishi kwa wingi zaidi kushinda sisi wanaume... na ndo maana wengi wazuri kwenye biology na wabovu kwenye maths..!!!!
 
Mwanamke hajawahi kuutumia ubongo kumshinda mwanaume mkuu.

Wanawake ni watu wa kukurupuka bila kutumia ubongo/akili. Hufuata matamanio ya moyo/hisia.

Ndio maana wanawake huongoza kwa majuto kuliko wanaume.

Hivyo umeongea uongo
Napenda kuongea kutumia facts.No research no right to speak[emoji6].
Okay.Ntakuelezea professionally mkuu.Ila kabla ya hapo.Naomba wanawake na wanaume tusidharauliane kwasababu Ni hizi tofauti zetu ndizo zilizofanikisha humanity.

Point ya kwanza mkuu,ubongo wa mwanadamu Una kitu kinaitwa corpus callosum,kwa waliosoma Biology wanaelewa kuwa kazi yake Ni kuunganisha pande mbili za ubongo.Hii corpus callosum inaanza Ku develop ndani ya wiki 26 za ujauzito wa mtoto wakike.Na inakuwa Ni pana(thicker) zaidi ya mtoto wa kiume.

Point ya pili kabla ya hitimisho,upande(hemisphere) wa kushoto wa ubongo kazi yake Ni logical thinking(sijui kutafsiri.ila Ni Kama kufikiri bila kuhusisha hisia).upande wa kulia unahusika na intuition(hii Ni kufikiri kwa kuhusisha hisia mbalimbali).
Utafiti unaonesha kuwa mwanaume anatumia zaidi ubongo wa kushoto.mwanamke anatumia pande zote sawa.kwanini?kwasababu Ana corpus callosum pana inayo unganisha vizuri ipasavyo pande hizi mbili za ubongo.

Point ya tatu.Sehemu ya ubongo ijulikanayo kama hippocampus, inajihusisha na hisia na kumbukumbu.Mwanamke Ana 'gray matter' nyingi kwenye hippocampus kuliko mwanaume.

Point ya nne
'limbic system' kwenye mwili wa mwanamke Ni kubwa na na imeingia ndani zaidi.Ndio Maana wanawake wako kihisia zaidi.na pia wanauwezo wakueleza hisia zao vizuri zaidi.Hii pia inamponza mwanamke kwani anaweza kupata matatizo ya kihisia kama 'depression'.

Point ya tano
Mwanamke Ana ubongo mdogo kwa asilimia nane kulinganisha na mwanaume.Na ubongo mkubwa wa mwanaume unampa 'processing power'kubwa.Ila haimaanishi kuwa Ana akili zaidi.
Ubongo huu mkubwa Ni muhimu ili kuendesha mwili mkubwa wa mwanaume na misuli.Naona hapa mtakuwa mmelewa.

HITIMISHO
Kama umesoma na kuelewa hizo point hapo juu utakubaliana na mimi kuwa;
Mwanaume anauwezo mkubwa wa kufikiri 'straight'.Ila mwanamke Ana uwezo mkubwa wa KUFIKIRI kwasababu anahusisha pande zote za ubongo.rejea point ya kwanza.

Mwanamke hasahau kisahisi.kwaiyo naona wengi mtaelewa kwa nini mwanawake hata ukimfanyia jambo zamani Sana atakumbuka.rejea point ya3.

Mwanamke anatumia zaidi ubongo wake zaidi ya mwanaume rejea point ya pili.Ndio Maana Ana uwezo mkubwa wa 'multi tasking'
Tafiti zilozofanywa na chuo cha loughborough,zinaonesha mwanamke hutumia zaidi ubomgo wake na hivyo anahitaji kupumzika dakika 20 zaidi ya mwanaume.

Nakadhalika
Mkuu nadhani utakuwa umeelewa.Hakuna alirebora,tuko tofauti tu,ili tuwe jinsi tulivyo.[emoji111]
 
Napenda kuongea kutumia facts.No research no right to speak[emoji6].
Okay.Ntakuelezea professionally mkuu.Ila kabla ya hapo.Naomba wanawake na wanaume tusidharauliane kwasababu Ni hizi tofauti zetu ndizo zilizofanikisha humanity.

Point ya kwanza mkuu,ubongo wa mwanadamu Una kitu kinaitwa corpus callosum,kwa waliosoma Biology wanaelewa kuwa kazi yake Ni kuunganisha pande mbili za ubongo.Hii corpus callosum inaanza Ku develop ndani ya wiki 26 za ujauzito wa mtoto wakike.Na inakuwa Ni pana(thicker) zaidi ya mtoto wa kiume.

Point ya pili kabla ya hitimisho,upande(hemisphere) wa kushoto wa ubongo kazi yake Ni logical thinking(sijui kutafsiri.ila Ni Kama kufikiri bila kuhusisha hisia).upande wa kulia unahusika na intuition(hii Ni kufikiri kwa kuhusisha hisia mbalimbali).
Utafiti unaonesha kuwa mwanaume anatumia zaidi ubongo wa kushoto.mwanamke anatumia pande zote sawa.kwanini?kwasababu Ana corpus callosum pana inayo unganisha vizuri ipasavyo pande hizi mbili za ubongo.

Point tatu ya mwisho.Sehemu ya ubongo ijulikanayo kama hippocampus, inajihusisha na hisia na kumbukumbu.Mwanamke Ana 'gray matter' nyingi kwenye hippocampus kuliko mwanaume.

Point ya nne
'limbic system' kwenye mwili wa mwanamke Ni kubwa na na imeingia ndani zaidi.Ndio Maana wanawake wako kihisia zaidi.na pia wanauwezo wakueleza hisia zao vizuri zaidi.Hii pia inamponza mwanamke kwani anaweza kupata matatizo ya kihisia kama 'depression'.

Point ya tano
Mwanamke Ana ubongo mdogo kwa asilimia nane kulinganisha na mwanaume.Na ubongo mkubwa wa mwanaume unampa 'processing power'kubwa.Ila haimaanishi kuwa Ana akili zaidi.
Ubongo huu mkubwa Ni muhimu ili kuendesha mwili mkubwa wa mwanaume na misuli.Naona hapa mtakuwa mmelewa.

HITIMISHO
Kama umesoma na kuelewa hizo point hapo juu utakubaliana na mimi kuwa;
Mwanaume anauwezo mkubwa wa kufikiri 'straight'.Ila mwanamke Ana uwezo mkubwa wa KUFIKIRI kwasababu anahusisha pande zote za ubongo.rejea point ya kwanza.

Mwanamke hasahau kisahisi.kwaiyo naona wengi mtaelewa kwa nini mwanawake hata ukimfanyia jambo zamani Sana atakumbuka.rejea point ya3.

Mwanamke anatumia zaidi ubongo wake zaidi ya mwanaume rejea point ya pili.Ndio Maana Ana uwezo mkubwa wa 'multi tasking'
Tafiti zilozofanywa na chuo cha loughborough,zinaonesha mwanamke hutumia zaidi ubomgo wake na hivyo anahitaji kupumzika dakika 20 zaidi ya mwanaume.

Nakadhalika
Mkuu nadhani utakuwa umeelewa.Hakuna alirebora,tuko tofauti tu,ili tuwe jinsi tulivyo.[emoji111]
Ukimaliza kumwelewesha nakusubiri hapo nje pulizzz usichelewe dr.
 
Ni kweli kabisa manake unakutana leo mnabadilishana namba kabla hujageuka keshaomba hela na atakupa stori za dhiki zake kama kazaliwa south sudan so ndo hapo nnapoona umahiri wao wa ubongo
 
Mwanamke hajawahi kuutumia ubongo kumshinda mwanaume mkuu.

Wanawake ni watu wa kukurupuka bila kutumia ubongo/akili. Hufuata matamanio ya moyo/hisia.

Ndio maana wanawake huongoza kwa majuto kuliko wanaume.

Hivyo umeongea uongo
Kweli mkuu mwanamke anatumia hisia%60
Akili%18
Nguvu%22
Huyu anasema mwanamke ana akili kuliko mwanaume sijui kafikilia nn. Hakuna kitu chochote mwanamke alichokivumbua daniani hata izo nguo wanazova zimefumbuliwa na mwanaume. Na mwanamke anauwe wa kufanya kazi nyingi za hapa na hapa sio mbali. Angeniambia mwanamke anaishi kwa kisasi apo ningwelewa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mhh..Ngoja nkukumbushe the greatest falls in history of men zilisababishwa na wanawake na hii inathibitisha wanawake ndio tunaushawishi zaidi.
mifano;
Eve alivyomponza Adam,
Delilah alivyompomza Samson,
Cleopatra alivyompomza Julius Caesar na Marc Anthony, Lewinsky alivyomponza Bill Clinton,na wengine wengi.
Wanasema women run this world.
Na waliimba this is a man's world but it would be nothing without a woman.
Hapo ni kwa uchache tu lakini wanawake wengi zaidi ndo wanaponzwa na wanaume.
 
Hasa on ' slow data transfer ' kutoka kwenye ile yake ya ' fast data transfer ' kwani kuna Mtu nipo nae sasa hivi hapa ' Ghetto ' ameganda tu bado katika ' slow data transfer ' hasa katika ' Kuchojoa ' ili ' Mkuyenge ' ufanye Kazi na tunapoelekea nadhani nitampa ' Kibao ' au ' Mbata ' ya ' fast data transfer ' itakayomwezesha kunipa ushirikiano wake wa ' kutukuka ' na hatimaye ' kunichojolea '.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa ingekuwa hivo kweli, si kungekuwa na tofauti kubwa/za maisha kati ya hizi jinsia 2? Au ndiyo yaleyale binadamu alikuwa nyani?
 
View attachment 502343

UBONGO WA MWANAMKE....
Ubongo wa mwanamke ni mdogo kwa 8% kuliko wa mwanaume, lakini unamuungano wa mawasiliano (interconnections) nzuri sana kuliko wa mwanaume, na ndio mana mwanamke
anaweza kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja bila kukosea (multi-tasking).

Itakua umeshaona: kwa wakati huohuo, mwanamke anapika, anaangalia tamthilia kwenye TV, anasuka nywele n.k. na vyote hufanya kwa ufanisi, lakini mwanaume amalize kimoja kwanza ndio ahamie kingine.

Ubongo wa mwanamke unauwezo wa kufanya mawasiliano ya haraka sana (fast data transfer) kuliko wa mwanaume, hivyo mwanamke anao uwezo mkubwa wa kuwasiliana (communication), kusoma lugha za maumbile (body languages), kufikiri na kutabiri yajayo (situational thinking) kwa urahisi na haraka zaidi, yani mara 10 zaidi ya mwanaume. Ndio mana, mwanamke anauwezo wa kujenga mahusiano ya kijami kirahisi (social thinking and interaction) zaidi ya mwanaume.

Umeshawahi gundua: upo na mwanamke (dating with a lady) labda mpo beach au kwenye gari (private driving), alafu ukataka umbusu (kiss) kwa kumstukiza (obvious no one seeks lady's attention for kissing, it is done in surprise). Sasa kile kitendo cha wewe kuwaza kumbusu, utakuta yeye alishagundua dakika chache zilizopita kabla yako, kupitia mihemko ya mwili wako. Na kama hayupo tayari (ready for kissing), anao uwezo wa kukwepesha mdomo wake haraka zaidi kabla ya wewe kumfikia, bila kujali alikua ktk mazingira gani au akifanya nini.

***This is how women brains work.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom