Ubora na mapungufu ya "First eleven" ya SIMBA Mnyama

Ubora na mapungufu ya "First eleven" ya SIMBA Mnyama

Huyo sembo hawezi kukujibu chochote.Simba si kwamba ipo vuzuri,ni mbovu bado tena sana tu.Yanga wapo vizuri hata mpira wao unavutia kuangalia kuliko wa Simba.

Mpira wa Ndala haujawahi kuvutia hata siku moja.. Ni butua butua.. Kama butua butua ndo zinakufurahisha, basi sawa.
 
Mpira wa Ndala haujawahi kuvutia hata siku moja.. Ni butua butua.. Kama butua butua ndo zinakufurahisha, basi sawa.
Mpira wa Yanga una kasi na unaleta pressure pande zote na huwa hawaridhiki kufunga sio Simba goli mbili tu wanaanza mambo yao ya vyenga ambazo hata hazipendezi.Mimi ni Simba damu ila mpira wa Simba hauvutii hata kidogo.
 
Back
Top Bottom