Inakula litre ngapi kwa kilomita kwa experience yako?Ile ya cc 1799 new model ni gari Kali sana pia inaimili Shida ulaji wa Mafuta ni mzuri sana nimeenda nayo songea tokea arusha Mara 2 bila tabu
Karibu tena songea twatwatwa.Ile ya cc 1799 new model ni gari Kali sana pia inaimili Shida ulaji wa Mafuta ni mzuri sana nimeenda nayo songea tokea arusha Mara 2 bila tabu
Pamoja mkuuKaribu tena songea twatwatwa.
Kwa mjini tisa mpaka 10Inakula litre ngapi kwa kilomita kwa experience yako?
Nzuri ya cc1399 hiyo yakwako so nzuri siku ikianza kukuzingua utakuja kunambia .usimshauri mwenzako anunue hiyo ya engen kubwa kama yakwako.Ile ya cc 1799 new model ni gari Kali sana pia inaimili Shida ulaji wa Mafuta ni mzuri sana nimeenda nayo songea tokea arusha Mara 2 bila tabu
Ninzuri sana ila hakikisha niengen ndogo cc 1399 usije kununua ya cc 1799Wakuu,ninahitaji kuagiza Toyota Spacio ya Cc 1500 mwezi ujao.
Ninaomba kujua yafuatayo kuhusu gari husika.
1. Fuel Consumption yake ikoje? inakula sana au kidogo?
2. Itaweza kuhimili matumizi ya kijijini huko milimani Upareni? (ndiko itakoenda kutumika siku zote)
3. Ni gari Imara ?
Natanguliza shukrani wakuu, karibuni mnipe mawazo.
Ile ndogo ni cc 1490.Ninzuri sana ila hakikisha niengen ndogo cc 1399 usije kununua ya cc 1799
Hata mimi nashangaaHivi hakuna wataalam wa hii gari huku?
Inamaana inakula sawa na crown ya cc2500....Kwa mjini tisa mpaka 10
Namba 1 na 3 spacio ipo very good......lakini namba 2 hapo kwa location uliyotaja na muda itakayotumika mmmmmh nahisi kama itatoa boko mapemaWakuu,ninahitaji kuagiza Toyota Spacio ya Cc 1500 mwezi ujao.
Ninaomba kujua yafuatayo kuhusu gari husika.
1. Fuel Consumption yake ikoje? inakula sana au kidogo?
2. Itaweza kuhimili matumizi ya kijijini huko milimani Upareni? (ndiko itakoenda kutumika siku zote)
3. Ni gari Imara ?
Natanguliza shukrani wakuu, karibuni mnipe mawazo.