Wakuu,ninahitaji kuagiza Toyota Spacio ya Cc 1500 mwezi ujao.
Ninaomba kujua yafuatayo kuhusu gari husika.
1. Fuel Consumption yake ikoje? inakula sana au kidogo?
2. Itaweza kuhimili matumizi ya kijijini huko milimani Upareni? (ndiko itakoenda kutumika siku zote)
3. Ni gari Imara ?
Natanguliza shukrani wakuu, karibuni mnipe mawazo.
Ninaomba kujua yafuatayo kuhusu gari husika.
1. Fuel Consumption yake ikoje? inakula sana au kidogo?
2. Itaweza kuhimili matumizi ya kijijini huko milimani Upareni? (ndiko itakoenda kutumika siku zote)
3. Ni gari Imara ?
Natanguliza shukrani wakuu, karibuni mnipe mawazo.