Jamani as great thinkers we nid 2 think deeply b4 we say anythng,sisi wote ni magraduate tayari na wengine ni watarajiwa,kuanza kupondana kisa majina ya chuo c busara kabisa as u know"C VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU" pia "MUWAMBA NGOMA HUVUTIA KWAKE" sisi tunakaa miaka 3-5 vyuoni ha2na mda mwingi wa kudig deep kupata detail za vyuo vye2 ili 2anze kubishana coz 2likuwa busy na coarse work na shule kwa ujumla wake wangekuwa wahadhiri we2 wana hii debate nisingeshangaa pia sioni logic ya sisi kubishana as we know kila chuo kina mapungufu yake ila tusitumie mapungufu hayo kukiponda chuo husika hata HAVARD UNIVERSITY kinapondwa pamoja na kuwa cha zamani, maarufu duniani na kuna wataalam na viongozi wengi maarufu duniani wametokea hapo, chuo chako kiwe dar,moro,dom, mwnz, arusha, z'bar etc it doesnt matter vyote viko Tz let us argue wisely 2sije anza tukanana wakuu, lets embrace the factual challanges, embrace them n find means to change coz kukosoa peke yake haitoshi, shauri nini kifanyike 2songe mbele nawasilisha