mangimoshi
New Member
- Jun 13, 2011
- 2
- 0
kweli kaka hapo umenena kabisa,mwisho wa siku tutakuja kutukanana.Jamani as great thinkers we nid 2 think deeply b4 we say anythng,sisi wote ni magraduate tayari na wengine ni watarajiwa,kuanza kupondana kisa majina ya chuo c busara kabisa as u know"C VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU" pia "MUWAMBA NGOMA HUVUTIA KWAKE" sisi tunakaa miaka 3-5 vyuoni ha2na mda mwingi wa kudig deep kupata detail za vyuo vye2 ili 2anze kubishana coz 2likuwa busy na coarse work na shule kwa ujumla wake wangekuwa wahadhiri we2 wana hii debate nisingeshangaa pia sioni logic ya sisi kubishana as we know kila chuo kina mapungufu yake ila tusitumie mapungufu hayo kukiponda chuo husika hata HAVARD UNIVERSITY kinapondwa pamoja na kuwa cha zamani, maarufu duniani na kuna wataalam na viongozi wengi maarufu duniani wametokea hapo, chuo chako kiwe dar,moro,dom, mwnz, arusha, z'bar etc it doesnt matter vyote viko Tz let us argue wisely 2sije anza tukanana wakuu, lets embrace the factual challanges, embrace them n find means to change coz kukosoa peke yake haitoshi, shauri nini kifanyike 2songe mbele nawasilisha
ok,piga msuli wa nguvu,ufaulu vzr ili nawe ubahatike kukanyaga udsm,otherwise st joseph patakuhusu.Dah! Me bado niko A-level nashukuru sana waungwana kwa kunipa mwanga naamini mwakani nikianza Chuo nitakua nafaham mambo machache kuhusu elimu ya juu.
karibu sana...Thanks pia namshukuru mungu mwendo wangu sio mbaya. Naamini nitafika UDSM.
Cha msingi acheni kusomea mitihani, msilinganishe vyuo vya Tz na vyuo kama Utah, Havard, Navy academy, etc, huko hawasomei mitihani, wanaelimika na hatimae kugundua vitu vipya.vyuo hivi serikali inapotoka havina viwango tusiharakishe kwa kupata wasomi fake,St.joseph waalim fake last yr kulikuwa na doctorate moja tena kaondoka...nyingine ni principal hao wengine wahind wana masters za kuunga taarifa zilifika had kwa pinda ihakuna ufatiliaj..engineer alisoma EGM si utan,udom siasa wapi tunakwenda
usiogope,udsm the best varsity in Ea..Kwani kinaendelea nini. Hapo UDSM? Tufahamishane waungwana sababu wengine ndo form 6.
we usiwackilize wa2,elewa 2 udsm ndo chuo hapa tanzania..kikifuatiwa kwa mbaaal na sua...Kwani kinaendelea nini. Hapo UDSM? Tufahamishane waungwana sababu wengine ndo form 6.
una uhakika na unayoyasema?Weewe ni mwongo sana, ST Joseph naheshimu sana ufundishaji wao coz they are too practical than theories, Kama kuna kitu hupendi kuhusu ST Joseph Sema tu ila uache kujizungusha.