Habarini za muda wana jamvii kama kichwaa cha habari kinavo jieleza hapo juu kuna tofauti gani wa ubora wa Elimu unaotolewa chuo kikuu cha kilimo morogoro SUA na ile inayotolewa chuo kikuu cha Dodoma UDOM & UDSM hususan katika zile course za kilimo?
Binafsi nina wanangu wanasoma course zinazo husu masuala ya kilimo katika vyuo vivyo hapo juu lakin kamwe uwezi kulinganisha na zile za SUA mfano Bsc.
In Environmental science ya sua uwezi linganisha na zile za UDSM & UDOM hata katika uwanja wa ajira SUA wanapewa preority kubwa ukilinganisha na hizo vyuo zingne.
Binafsi nina wanangu wanasoma course zinazo husu masuala ya kilimo katika vyuo vivyo hapo juu lakin kamwe uwezi kulinganisha na zile za SUA mfano Bsc.
In Environmental science ya sua uwezi linganisha na zile za UDSM & UDOM hata katika uwanja wa ajira SUA wanapewa preority kubwa ukilinganisha na hizo vyuo zingne.