Ubora wa elimu unaotolewa SUA, UDOM na UDSM

Ubora wa elimu unaotolewa SUA, UDOM na UDSM

Katiba inaruhusu na hakuna aliyewakataza kuingia kwenye siasa but isiwe fashion, kwa sababu sio kila mtu amezaliwa kuwa Mwanasiasa (Capture that).
Imagine madaktari wote wakimbilie kwenye siasa na waache professional zao huko mahospitalini hali itakuwaje? Ifike mahali watu tuwe na kiasi na sio kutaka kikubwa zaidi. Lakini hayo ndiyo maisha ya bongo wasomi hawafanyi jambo kwa ajili ya wito bali wapo kimaslahi zaidi.
Mi naona watu wenye phd sio wengi kwenye siasa kuliko wasio na hizo phd, by observation.
 
Habarini za muda Wana jamvii Kama kichwaa Cha habari kinavo jieleza hapo juu Kuna tofauti gani wa ubora wa Elimu unaotolewa chuo kikuu Cha kilimo morogoro SUA na ile inayotolewa chuo kikuu Cha Dodoma UDOM & UDSM hususani katika zile course za kilimo binafsi Nina Wanangu wanasoma course zinazo husu masuala ya kilimo katika vyuo vivyo hapo juu lakin kamwe uwezi kulinganisha na zile za SUA mfno Bsc.

In Environmental science ya sua uwezi linganisha na zile za UDSM & UDOM hata katika uwanja wa ajira SUA wanapewa preority kubwa ukilinganisha na hizo vyuo zingne
Katika degree programs za Kilimo SUA ni bora zaidi kuliko vyuo vyote nchini.
 
Kwani kule kwenye siasa si wanashindana au wanapewa tu? Una takwimu za kutosha kutetea hoja yako? Au umeona wasomi kadhaa basi ume conclude
Wewe kwani unaonaje?
Kwani kule kwenye siasa si wanashindana au wanapewa tu? Una takwimu za kutosha kutetea hoja yako? Au umeona wasomi kadhaa basi u
Ukweli ndio huo wanataaluma wetu wengi ni wachumia tumbo. Thats why hata elimu yetu niyakimagumashi magumashi tu.
 
Mi naona watu wenye phd sio wengi kwenye siasa kuliko wasio na hizo phd, by observation.
Ndio maana wahitimu wengi wa hivyo vyuo vyenu pendwa daily wanazunguka na makaratasi kushoto kulia kutafuta kazi za makaratasi.
 
Katiba inaruhusu na hakuna aliyewakataza kuingia kwenye siasa but isiwe fashion, kwa sababu sio kila mtu amezaliwa kuwa Mwanasiasa (Capture that).
Imagine madaktari wote wakimbilie kwenye siasa na waache professional zao huko mahospitalini hali itakuwaje? Ifike mahali watu tuwe na kiasi na sio kutaka kikubwa zaidi. Lakini hayo ndiyo maisha ya bongo wasomi hawafanyi jambo kwa ajili ya wito bali wapo kimaslahi zaidi.
Ndiyo maana siyo madaktari wote walikimbilia kwenye siasa, nchi hii inawatumishi zaidi ya laki sita kutoka kada mbalimbali serikalini. Ukilinganisha na hao wasomi wanaofanya siasa wala huwez kupata hofu kama zako hizo.
 
Ndiyo maana siyo madaktari wote walikimbilia kwenye siasa, nchi hii inawatumishi zaidi ya laki sita kutoka kada mbalimbali serikalini. Ukilinganisha na hao wasomi wanaofanya siasa wala huwez kupata hofu kama zako hizo.
Ndio maana nimeandika neno "Imagine". Hofu kwako?
 
Kwa nn wahadhiri waone kama ndiyo loop hole yakutokea there is something wrong?
Kwa nini unadhani wahadhiri ndiyo wanatakiwa wapate shida kufikiria namna ya kupata hela kama kuna hela ipo tu mahala (kwenye siasa)?
 
Kwa nini unadhani wahadhiri ndiyo wanatakiwa wapate shida kufikiria namna ya kupata hela kama kuna hela ipo tu mahala (kwenye siasa)?
Because, There is something wrong? Soma vizuri sentesi yangu then utaondoka na jibu lako.
 
SUA wananiacha hoi kua na kozi za Ualimu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habarini za muda Wana jamvii Kama kichwaa Cha habari kinavo jieleza hapo juu Kuna tofauti gani wa ubora wa Elimu unaotolewa chuo kikuu Cha kilimo morogoro SUA na ile inayotolewa chuo kikuu Cha Dodoma UDOM & UDSM hususani katika zile course za kilimo binafsi Nina Wanangu wanasoma course zinazo husu masuala ya kilimo katika vyuo vivyo hapo juu lakin kamwe uwezi kulinganisha na zile za SUA mfno Bsc.

In Environmental science ya sua uwezi linganisha na zile za UDSM & UDOM hata katika uwanja wa ajira SUA wanapewa preority kubwa ukilinganisha na hizo vyuo zingne
Mleta mada kujifanya majuaji ndio maana unasoma chuo cha kataa. Hivi UDSM kuna Environmental Science kweli. Wana UDSM Environmental Science wao kule ni somo kwa wote. UDSM kila mmoja anayesoma sayansi au engineering anasoma somo la Environmental Science ni sawa na general study tu. UDSM hakuna Bachelor za kishamba kama hizo
 
Mleta mada kujifanya majuaji ndio maana unasoma chuo cha kataa. Hivi UDSM kuna Environmental Science kweli. Wana UDSM Environmental Science wao kule ni somo kwa wote. UDSM kila mmoja anayesoma sayansi au engineering anasoma somo la Environmental Science ni sawa na general study tu. UDSM hakuna Bachelor za kishamba kama hizo
Afadhali umemfafanulia huyo bwana shamba, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom